kuku wa kienyeji

kuku wa kienyeji

dalu

Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
24
Reaction score
4
wadau wapi naweza pata kuku wa kienyeji kwa dsm?naomba kuwakilisha
 
Yaani post ya pili tayari unataka kuku wa kienyeji? Kazi kweli kweli...
 
We nenda soko la ilala, kuna kuku na kila kitu na bei ni poa kuliko masoko yote haa dar. Bei ni sh. 7000 tu. Nenda kajione na utakuwa unafanya shopping yako hapo hapo.
 
wadau wapi naweza pata kuku wa kienyeji kwa dsm?naomba kuwakilisha

Karibu, unataka wa kufuga au wa kula? Nina majogoo ya kienyeji yapatayo 30 hivi nayatoa Krismas hii yote...ni makubwa yana miezi kama 8 hivi. Kama uko serious tu Piga 0762413132
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom