Electronic door lock

Electronic door lock

Amoeba

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
3,288
Reaction score
793
Wakuu nahitaji ELECTRONIC DOOR LOCKS zenye kufungua kwa kkutumia cards, pia ziwe na uwezo wa kuhifadhi data za kila anayeitumia, zisiwe za bei ghaali tafadhali, maana kuna watu nimewasiliana nao wananiambia dola 680!!
Natanguliza shukrani!
 
Mkuu ni pm mi ninazo each dollar 595.kufunga dollar 20.unahitaji ngapi?
 
Unapozungumzia ELECTRONIC DOOR LOCKS unamaanisha nini? Je unataka CONTROLLER. Na kama unataka controller. Je kuna milango mingapi
 
Wakuu nahitaji ELECTRONIC DOOR LOCKS zenye kufungua kwa kkutumia cards, pia ziwe na uwezo wa kuhifadhi data za kila anayeitumia, zisiwe za bei ghaali tafadhali, maana kuna watu nimewasiliana nao wananiambia dola 680!!
Natanguliza shukrani!

Piga simu no. 0788014929 Power Computers, utaongea na mtu anaitwa Ally atamaliza tatizo lako. Hiyo bei waliokupa siyo ya kweli.
 
Unapozungumzia ELECTRONIC DOOR LOCKS unamaanisha nini? Je unataka CONTROLLER. Na kama unataka controller. Je kuna milango mingapi

LOCKS kaka, VITASA!! nahitaji vitasa 18, controller1 na cards 25!
 
Piga simu no. 0788014929 Power Computers, utaongea na mtu anaitwa Ally atamaliza tatizo lako. Hiyo bei waliokupa siyo ya kweli.

Poa, ntamcheki! Thanx mkuu
 
LOCKS kaka, VITASA!! nahitaji vitasa 18, controller1 na cards 25!
Mpigie huyu bwana anaitwa Joseph 0787993588 alinifungia hizo lock kwenye Lodge Yangu hapa Arusha. viko vizuri mwezi wa saba sasa!!
 
Back
Top Bottom