Natafuta Blackberry Bold 9700 nina Tshs 300,000 au BB kati ya hizi 8530, 9650, 9100 au 9780 nipo posta tukielewana ninakukabidhi cash yako unanikabidhi mzigo wangu.
Habari wana jf, nauza kuku wa nyama wakubwa kwa ajili ya migahawa, hotel na watu binafsi. Mimi nakaa pugu kikazi nipo muhimbili hospital, naleta kuku kwa order. Bei ni 6,500/- tu.
Kwa...
I find below invitation of importance to indigenous and inhabitants of Kagera or whomever planning to have a vacation in Bukoba during this season . Not bad and cost nothing to share!
Dear...
wakuu, nimepata vi-diem vya christmas milioni saba, nahitaji toyota cami kwa yeyote anayeuza, iwe kwenye hali nzuri tuu, naihitaji haraka pesa isije ikapata mahitaji mengine, mwenye nayo anicheki...
Wadau, kwa mwenye kuweza nisaidia, nna kahela kangu kadogo, nataka nunua kagari ili kurahisisha shughuli zangu za kila siku...napenda starlet o swift ambayo ina hali nzuri kidogo. Nashukuru.
Wakuu,
Naomba mwenye Polk Audio Subwoofer anipe bei yake tafadhali - I desperately need it , Ningeprefer DSW PRO500 model. Natanguliza shukurani za dhati!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.