Farasi 4 wanahitajika...

Farasi 4 wanahitajika...

Mshawa

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
787
Reaction score
325
Wawe na umri wa miaka 3 hadi 3.5, wale wa rangi ya brown, madume ambao hawajahasiwa wawili, na majike ambayo yana uzazi mawili, wakiwa wamepewa mafunzo na wazuri zaidi, wawe wanapatikana hapahapa Tanzania na recodi zao za matibabu ziwepo, ikiwa unafahamu, ama kujua mahali wanapouzwa na bei tafadhali ni Pm namna ya kuwapata. Best regards
:flypig:
 
Mkuu kama upo Arusha tembelea eneo la Shangarai uliza wazungu wafuga Farasi utaonyeshwa ila sijui kama wanauzwa.
 
kuna jamaa wapo Kigamboni Mbutu karibu na bahari (30kms from the ferry)
 
Ukikosa kabisa chukua hata Punda!!
Kwa mbaaaaaliiiiii wanafanana fanana na Farasi!!
Wanaweza waka-save purpose(s)
 
Back
Top Bottom