Mshawa
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 776
- 306
Wawe na umri wa miaka 3 hadi 3.5, wale wa rangi ya brown, madume ambao hawajahasiwa wawili, na majike ambayo yana uzazi mawili, wakiwa wamepewa mafunzo na wazuri zaidi, wawe wanapatikana hapahapa Tanzania na recodi zao za matibabu ziwepo, ikiwa unafahamu, ama kujua mahali wanapouzwa na bei tafadhali ni Pm namna ya kuwapata. Best regards
:flypig:
:flypig: