Napangisha fremu ambayo iko kati kati ya bora na maduka mawili
kuna barabara inatazamana na changombe road inaitwa njia panda toroli
wasiliana na 0713 68 96 65, kwa maelezo zaidi
bei yake ni tshs...
Salmu kwa wan JF wote.
Jamani natafuta mashine ya kuetengezea chalks za mashuleni mfano huo hapo. Mwenye taarifa wapi naweza kupata tafadhali anijuze.
Thanks
Hello wadau wa JF
Nauza My laptop Mac book G4, The reason behind ni kwamba nimenunua nyingine ya kisasa zaidi na hii ni kama Old fashion kwangu
Unaweza kuperuzi Google kuicheki
Bado ipo fresh...
Imate Jasjam [HTC Hermes 100]
Natafuta battery na housing ya Imate Jasjam haraka. Ziwe mpya au used lakini katika hali nzuri.
Aina ya battery:-
Standard size Li-Ion
Chemistry Li-Polymer...
Shamba ekari 80 linauzwa karibu na eneo la Jaribu-Rufiji km 2 kutoka Kilwa Road.bei maelewano. Shamba linafaa sana kwa kilimo cha nanasi na matunda aina mbalimbali. piga simu 0784281824
Wadau!
Nipo hapa mjini A town kwa makazi!
Inahitajika pikipiki (USED) tajwa hapo kwa Tsh 750,000/= iwe na viambatanisho vyake vyote
Mwenye kuwa nayo asisite kunijuza kupitia PM!
Wakuu salaam,
Nahitaji truck long base kubeba mzigo wa 1 ton,mrefu kama 25metres, kwenda Kigoma una uzito wa 1ton,uwezo wangu ni kulipia shilingi million 3 za kitanzania .Mzigo unatakiwa...
Wakuu, natafuta wataalamu wa kuprint LEBO, POSTERS na BROCHURES kwa bei nafuu inayotia moyo kufanya nao kazi. Naomba kwa yeyote anayewafahamu au kuhusika na wataalamu wa mambo hayo wanisaidie...
SIZE: 1200 Sqm (1 plots) AU 30 KWA 40
BEI: MIL 25
SIFA YA KIWANJA
ENEO LINA HATI MILIKI HALALI
KIWANJA KINA MIUNDOMBINU YOTE MAJI NA UMEME VIMEFIKA KATIKA KIWANJA
GARI AINA ZOTE ZINAFIKA...
I am looking for Event planner and organiser Companies that does the following items;(Dar & Morogoro)
Provide an "MC" (Master or Mistress of Ceremony) who can guide the participants through some...
jamani ndugu zanguni nina magari haya nauza
Audi A6 excutive 1999 iko kwenye condition nzuri niya silver nani automatic mwingereza u can expect the quality mil. 16 tuu na nina Daihatsu...
Ninauza HOUSING za simu ya TECHNO.
Housing zipo HIGH QUALITY, bei ni 6,000/-tshs kwa pisi.
Ninayo pisi kama 30, za Model tafauti tafauti.
Usikose Hiyo OFA, Techno Mobile zipo kibau hapo mjini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.