Wana JF, natafuta nyumba ya kupanga iwe ni self ndogo yenye vyumba viwili vya kulala na mengineyo muhimu, maji na umeme pia yawepo, Iwe maeneo yeyote kuanzia Usa-River mpaka pale Ngulelo Arusha...
Nina tafuta kiwanja maeneo ya mbweni dar au salasala pia maeneo ya kibaha misugusugu yoyote mwenye kiwanja anijulishe aweke # yake ya simu nitampigia thx mdau
Je wewe ni msafirishaji na unahitaji kuboresha biashara yako na gari za kisasa .naagiza magari haya kwa bei nzuri .
IVECO STRALIS ACTIVE SPACE 4 by 2 tractor unit kwa sterling pound 14750...
Natafuta chumba na sebule kwa ajili ya kupanga kiwe maeneo ya Shekilango au Ubungo stand ya mkoa, kiwe kina hali nzuri, kusiwe na muingiliano wa watu wengi, kuwe kuna usalama, kodi isizidi laki...
Wakuu nauza laptop charger(adopter) ya gari.
Input: Cigarate port ya gari
output: One terminal unayoweza ku-connect different terminals za laptop tofauti.
NB: KUNA VOLTAGE REGULATOR...
wadau,
Natafuta moderm za internet za tigo, voda ama airtel kwa mtu ambaye haitumii tena. bei nitakayonunulia ni sh10,000 kwa moja. kama kuna mtu anazo naomba anipigie simu kwenye +255 715 408...
Ni ya rangi ya Njano,Water and Shock Proof,ina Umri wa miezi Mitatu,Ipo katika hali nzuri!!
Its sold at Tshs 100000
If interested please call me on 0714843384
Acer Aspire ONE A150 NETBOOK Intel N270 1GB RAM 160GB HDD netbook
PRICE 420,000TSH 8.9 inches NI MPYA KABISA hazina box na driver cd, unapata laptop na charger yake katika package yake zimetoka...
SONY CYBER-SHOT DSC-HX1
Slightly used but still new and in excellent workingcondition. This camera has extremely powerful ultrazoom option that shootsgreat pictures and nice videos along with...
TUNATARAJIA KUWA NA SHORT COURSES ZA FILMS MKOANI MOROGORO KWA MUDA WA WIKI TATU, KOZI HIZO ZITAKUA NI ACTING,CINEMATOGRAPHY NA SCREEN PLAY WRITING, MAHALI NI KATIKA CHUO CHA MAGADU...
Movie Scripts za kiswahili zinauzwa, ni nzuri zafaa kutengenezea bongo movie, mtunzi anatoa haki ya umiliki na utunzi yaani unaandika jina lako kama ndio mtunzi, bei unajipangia mwenyewe kisha...
Upande huu una chumba cha kulala kimoja (self contained), sebure na jiko. Kodi 250,000 kwa mwezi. Upo mita chache kutoka Sam Nujoma Road. kwa appointment piga simu 0784225000 au kwa mawasiliano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.