Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nina mdogo wangu ambaye amemaliza kozi ya kushona nguo lakini natafuta fundi atakayempatia uzoefu wa kutosha awe anajuwa kudarizi pia. Atapata malipo gani? 1. Kodi free atakuwa halipi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wana JF.Napenda kuwatangazia kuwa nauza viwanja ila dalali hatakiwi.Viko viwanja nane tu vimebaki vina ukubwa wa mita 15x15 kwa bei ya TShs.1,500,000/= Kilometa 4.5 toka...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
anaeuza ram 1gb y a laptop ani pm
0 Reactions
2 Replies
980 Views
Inahitajika Black Berry Bold iwe, bold 1,2,3 haraka sana mwenye nayo ani PM
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Iwe Moshi au Arusha, Toshiba au Acer preferably. Full accessories, si lazima iwe na OS au hata apps zozote. Nafika hadi 500k. PM au weka hadharani hapa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu, Salaam. Nahitaji EFD kwa ajili ya retail shop,My sales are above 40M per year. Nahitaji sehemu ya kununua kwa bei nzuri.Ni biashara ya kuuza bidhaa ndogo ndogo. Regards. Rakey.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Town hiace supercustomer zinakodishwa,wasiliana kwa 0717787631:crutch:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Brand New Acer Aspire AS5349-2899 15.6" HD Widescreen Ultrabright™ LED-backlit LCD Display Intel® Celeron® Processor B815(1.6GHz, 2MB L3 Cache) Windows® 7 Home Premium Microsoft®...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Water pump ya Kawasaki model FA130 inayo tumia Petroli inauzwa shs 550,000.Mashine hii ilitumika uingereza katika project moja tu na ipo ktk hali nzuri sana.Na ni mashine ya uhakika na bei yake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
in need of an mobile phone,prefferably inayotumia android platform,touch screen,good camera......budget 150,000/= O.N.O
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KIWANJA KINAUZWA KIPO OPOSITI NA BARABARA KUU YA MOSHI ARUSHA KM6 KUTOKA KEEPLEFL YA ARUSHA UKUBWA (23MX18M) KINA JENGO LA ROOM 4 AMBALO HALIJAKAMILIKA LIPO KWENYE LENTA KIPO OPOSITI NA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inafanya safari za Mbezi Shamba kariakoo. Ipo katika hali nzuri. Bei 13mil. kwa maelezo piga simu 0717114409
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Isuzu journey inauzwa ipo kwenye good running condition.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nauza isuzu journey long ikiwa katika jali nzuri kabisa inatembea. Imesajiliwa kama daladala Gongolamboto - temeke. Bei maelewano. Karibuni
0 Reactions
14 Replies
2K Views
anayeuza ani pm
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Saidi watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, vvu na yatima. kituo cha Santa maria kilichopo Arusha moivaro kinakukaribisha kuchangia chakula, mavazi fedha taslimu kwaajili ya watoto...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dell Inspiron mini 1GB Ram, 250GB HDD, Intel Atom 1.66GHzX2, 11.6", 5 Hours Battery Life, 350,000/=Tsh in mint condition. Blackberry Bold 9700 in very good shape 300,000/= Tsh Nokia N97-1 32GB...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Je, Unataka kujua taratibu na hatua za uchapishaji kitabu chako? Unataka mtu wa kuhariri kitabu au jarida lako? Unataka kuchapisha kitabu, jarida, vipeperushi,n.k kwa bei nafuu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
jjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjjj
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Used bt in mint condition ,, 520000/- #negotions r widely open !! Pm me
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Back
Top Bottom