Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari, Ninauza pik up single cabin 12-r engine ya 1989 Ni toyota hilux ya petrol iko registered na katika condition nzuri ipo arusha Bei ni 6.5m Kwa atakayehitaji tuwasiliane...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, Kwa anayehitaji mahindi ya mwaka jana, yanapatika mkoani Dodoma. Kwa details zaidi piga 0682 716931.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani kiukweli ni kwamba sina uwezo wa kuingia dukani na kuulizia hizi simu naomba mwenye nayo bei ninayo laki mbili ,iwe ina uwezo wa 3g au touch screen iliyo tumika ila isiwe mbovu hii kwa watu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tunauza unga wa mahindi "SEMBE" na pumba safi toka Kibaigwa. Kwa maelezo zaidi 0754013623
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za majukumu wakuu, natumai mna afya njema. Ninauza gari yenye maelezo yafuatayo: Aina: Nissan Bluebird Year of make: 1995 Colour: Dark Metallic Blue (imeungua na jua) Odometer...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Samsung SGH-E250,inauzwa ni used,ina internet,google opera mini,inatumia memory,camera,video camera,bluetooth pia ni ya slide.BEI 60,000/= TU.SMS AU PIGA NAMBA 0719271039 AU 0765 618067.
0 Reactions
0 Replies
878 Views
inapatikana tabata bima opposite na st.mary. ni self container yenye vyumba 4, unaweza paki gari hata 5, ina uzio mkubwa na bado mpyaaaa, bei yake ni sh. laki 4 na unalipia miezi kuanzia 6...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau, Kwa anayehitaji viwanja (mashamba) maeneo ya Majohe karibu na Chuo cha Ualimu cha West Dsm Teachers College, vinapatikana. Ukubwa ni mita 20x35, milioni 5 30x 70 milioni 7 20x20...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani sijapata bado nyumba nzuri ya kupanga Arusha bei ni 200,000 ikiwa chini ntafurahi pia
0 Reactions
0 Replies
998 Views
wakubwa na nyingne tena I pad two ya 64 GB 1.2 m na ya 32 gb 1m zote na wiki mbili natoa na cover pm me
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Zinahitajika Suzuki Swift from 2003, Suzuki Escudo frm 1995 na RaV4 from 1998 mileage zisizidi 100k, ziwe 5 door, ziwe kwenye hali nzuri sana. Tuma picha ya gari pamoja na offer yako kwenye...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Poleni na hekaheka za msiba na sherehe ya Pasaka. Natumai wengi tutakuwa na afya njema. Nina shamba au waweza kuliita kiwanja kulingana na utakavyotaka kulitumia. Lina ukubwa wa hekari 2 na...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Samaki wazuri wa kubanikwa kutoka ziwa victoria.bei inaanzia 3000 hadi 5000 kulingana na ukubwa wao.kwa mawasiliano piga no 0754621676...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wana jf poleni na majukumu ,napenda kuwajulisaha kwamba ninauza nguo za mtumba zenye ubora wa hali ya juu,nguo hizo ni za wakina dada,wakina mama na watoto wa jinsia zote.size zotezinapatika...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Natafuta nyumba ya kupanga vyumba viwili maeneo Kimara,ubungo,mbezi,kijitonyama,mwenge.....kodi TSH300,000-TSH400,000,ikipungua ndio furaha yangu. Tafadhali mwenye maujuzi haya nisaidie...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
ndugu wana JF, napenda kuuliza hili duka la costmetics lijulikanalo kama ARISE BEAUTY SUPPLY lipo dar sehemu gani? nahitaji kuwa naagiza mzigo kutoka kwao, kwani nasikia ni agent wa costmetics...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza body ya gari aina ya mistubishi Chariot ni lina kila kitu lakini engine yake ndo inasumbua, kwahiyo unaweza weka engine ya Rav 4 na ukaendelea kuitumia bei ni million 3 tu, gari ni ya japan...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
BRAND NEW SAMSUNG MINI LAPTOP Processor 1.6 Intel Atom Memory: 1GB DDR3 Hard Drive: 320GB OS: FREEDOS 1 YEAR WARRANTY HARDWARE UNBEATABLE PRICE 405,000/= Available Only @ Uhuru Computers Call...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mada hapo juu mwenye nayo plz
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hiyo hapo kwenye attachment, au unaweza kui Google ujionee mwenyewe. Inauwezo wakuchukuwa Quality Video hata iwe usiku kwani ina outmatic light.. Camera ndio usiseme kwani inachukuwa saiz yoyote...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom