CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Awe na uzoefu wa kufanya kazi katika makampuni au viwanda, mfano construction companies, manufacturing companies, mining companies n.k.
Mwenye sifa ani-pm.
Mwenye sifa ani-pm.
Toa detail, mfano compani gani linahitaji, kituo cha kazi wapi, mshahara unarange ngapi?????
I am the one who is responsible for selecting the best candidate and I am in charge of the service that is going to be provided by the CO or AMO, kwa hiyo siwezi ku-recommend rejects zije zifanye kazi ninayo-oversee au ninayo-supervise.
Anayetaka awasiliane na mimi either kwa kuni-pm au call +255 763 718328.
Kwa sababu natakiwa nikuulize maswali kwanza kabla ya kuku-recommend. Kama mtu anaitamani kazi na wakati huo huo hataki kuni-pm au kuni-call aache, wala asijisumbue kwa sababu inamaanisha hataki kazi!
mtu unatafuta employee kwa siku?
Kama upo responsible kwenye be fair kwa kuweka open procedure ya application, vinginevyo nina hofia kama unaweza timiza lengo la kupata best applicant/employee.
Ambaye hataki kufuata nilichosema aache!
Watanzania watu wa ajabu sana, kitu hata hujakijua unaanza kuwazia negatives kuhusu unachoambiwa.
Tunashindwa kuendelea kwa sababu huwa hatuna courage (uthubutu) - huwa tunaogopa kujitoa mhanga bila kujua kwamba "THE SUN ALWAYS SHINES FIRST TO THOSE WHO STOOD UP FIRST BEFORE IT SHINES TO THOSE WHO KNEEL UNDER THEM". Baadaye unakuta mtu anasema "NINGEJUA!" Ungejua?!
Unakuta mtu analipwa laki mbili anaambiwa kuna kazi (ambayo labda kama akiwa na uthubutu wa kuifuatilia anaweza kujikuta analipwa laki sita kwa mwezi) na labda kazi yenyewe haina pressure halafu eti mtu anaogopa.
Mungu tusaidie waTanzania, woga wetu nd'o umasikini wetu!
acha ujinga wako wewe!!!
wewe weka tangazo lenye full information kuhusu hiyo kazi unayotaka kutangaza,
uone kama watu hawajaomba.
Hayo unayotuletea hapa ni mambo ya kijijini kwenu! nahis wewe km ni ME ndo mnaoomba rushwa ya ngono ili mtoe ajira, tena ajira zenyewe feki.
huna lolote!!!!!!!!! mi nahitaji kazi lakin siku-pm