Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu,natafuta fremu ya biashara ya kawaida sehumu yenye mkusanyiko wa watu wengi kama Kariakoo,Tandika au sehemu za stand kubwa au vimiji vidogo vya Dar.Mwenye info apost tu hapa hapa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani mm na milioni 5 nahitaji vitz ambayo iko ktk hali nzuri. pls pm me.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, habari? Napangisha nyumba Iringa maeneo ya mkimbizi iko katika hali nzuri sana, Kodi kwa Mwezi ni 300,000 Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane katika namba 0717373190, Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna ndg yangu anauza kiwanja chake 10M mbweni. hakijapimwa ila kiko mpakani na vilivyopimwa na serikali na hivyo huduma zote zinapatikana kutokana na huo mradi wa serikali.(spillover...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
320 toshiba external 80000 tsh call 0653269241
0 Reactions
1 Replies
873 Views
Nauza kiwanja/shamba 22/22, hakijapimwa kipo karibu na barabara, kituo cha polisi, zahanati na shule ya msingi. kipo eneo la mapinga. bei ni milioni 3 na maongezi yapo. kwa atakaehitaji tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
(1)NYUMBA na eneo lake kwa pamoja lina ukubwa wa meter square 550 Liko Mikocheni A nyumba namba mkc-mca 1129 kimong'onyole au makaburini street gharama ni million 300. (2)KIWANJA kinauzwa kiko...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau umefikia wakati na mimi niachane na kutu za daladala za mjini.Sasa kwa yeyote anayeuza Corona Premio na engine isiyo D4,naomba ani PM tufanye biashara. Gari iwe kwenye hali nzuri tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ipo sealed kabisa nì mpya kwenye box.bei 1m Piga: 0713656256
0 Reactions
1 Replies
935 Views
Anaye uza anitafute 0687771522/0719004668 au ani pm....
0 Reactions
2 Replies
880 Views
Nauza samsung s5233a ni touch screen pia ni orginal bei ni tsh110,000 kama huifahamu waweza igoogle ukaicheki. Kwa halie tayari hanicheki kupitia 0754677877 Niko mwanza.
0 Reactions
1 Replies
918 Views
Wadau mambo vp, natafuta wataalamu wa kuprint LEBO, POSTERS na BROCHURES kwa bei nafuu inayotia moyo kufanya nao kazi. Naomba kwa yeyote anayewafahamu au kuhusika na wataalamu wa mambo hayo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
free internet line zimerudi tena pata kwa elfu 20 tu,kama unahitaji ni PM your number na nitaku call kukufahamisha unaipataje,shukran. KAMA ULISHAWAHI NI PM UKANITUMIA NAMBA YAKO NA HAUKUPATA...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu, naitaji frame Arusha mjini, ila kodo isizidi 200,000.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni used,Internal 4gb,ram 512,5 mega pixel contact me for more information 0713079282
0 Reactions
3 Replies
986 Views
MAENEO YANAUZWA (Barabara ya Kilwa baada ya Kongoe) a. Shamba – lipo Vikindu Kamegele – karibu na (chuo cha ualimu) linaangaliana na barabara. Lina ukubwa wa hekari tatu (3). Kuna mazao kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta kazi ya ualimu katika jiji la dar es salaam. Nina uzoefu wa miaka mitatu na nina diploma ya ualimu wa sekondari katika masomo ya history na geography. Vile vile nina uwezo wa kufundisha...
0 Reactions
0 Replies
944 Views
Niaje mazee? Nasaka machine za kusafisha picha za digital mwenye information anisaidie. Kwani nataka niingie kwenye hii industry
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cyan, Magenta, Yellow, Black. Both Web and Process in 1kg. and 20kgs. Ideal for full colour production.0787 303399 / 0683 467197 sales@chitanatz.com
0 Reactions
1 Replies
832 Views
Imate Jasjam [HTC Hermes 100] Natafuta battery na housing ya Imate Jasjam haraka. Ziwe mpya au used lakini katika hali nzuri. Aina ya battery:- Standard size Li-Ion Chemistry Li-Polymer...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Back
Top Bottom