Wakuu,natafuta fremu ya biashara ya kawaida sehumu yenye mkusanyiko wa watu wengi kama Kariakoo,Tandika au sehemu za stand kubwa au vimiji vidogo vya Dar.Mwenye info apost tu hapa hapa
Wadau, habari?
Napangisha nyumba Iringa maeneo ya mkimbizi iko katika hali nzuri sana, Kodi kwa Mwezi ni 300,000
Kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane katika namba 0717373190,
Asante.
Kuna ndg yangu anauza kiwanja chake 10M mbweni. hakijapimwa ila kiko mpakani na vilivyopimwa na serikali na hivyo huduma zote zinapatikana kutokana na huo mradi wa serikali.(spillover...
Nauza kiwanja/shamba 22/22, hakijapimwa kipo karibu na barabara, kituo cha polisi, zahanati na shule ya msingi. kipo eneo la mapinga. bei ni milioni 3 na maongezi yapo. kwa atakaehitaji tafadhali...
(1)NYUMBA na eneo lake kwa pamoja lina ukubwa wa meter square 550 Liko Mikocheni A nyumba namba mkc-mca 1129 kimong'onyole au makaburini street gharama ni million 300.
(2)KIWANJA kinauzwa kiko...
Wadau umefikia wakati na mimi niachane na kutu za daladala za mjini.Sasa kwa yeyote anayeuza Corona Premio na engine isiyo D4,naomba ani PM tufanye biashara.
Gari iwe kwenye hali nzuri tafadhali...
Nauza samsung s5233a ni touch screen pia ni orginal bei ni tsh110,000 kama huifahamu waweza igoogle ukaicheki. Kwa halie tayari hanicheki kupitia 0754677877 Niko mwanza.
Wadau mambo vp, natafuta wataalamu wa kuprint LEBO, POSTERS na BROCHURES kwa bei nafuu inayotia moyo kufanya nao kazi. Naomba kwa yeyote anayewafahamu au kuhusika na wataalamu wa mambo hayo...
free internet line zimerudi tena pata kwa elfu 20 tu,kama unahitaji ni PM your number na nitaku call kukufahamisha unaipataje,shukran.
KAMA ULISHAWAHI NI PM UKANITUMIA NAMBA YAKO NA HAUKUPATA...
MAENEO YANAUZWA (Barabara ya Kilwa baada ya Kongoe)
a. Shamba lipo Vikindu Kamegele karibu na (chuo cha ualimu) linaangaliana na barabara. Lina ukubwa wa hekari tatu (3). Kuna mazao kama...
Natafuta kazi ya ualimu katika jiji la dar es salaam. Nina uzoefu wa miaka mitatu na nina diploma ya ualimu wa sekondari katika masomo ya history na geography. Vile vile nina uwezo wa kufundisha...
Imate Jasjam [HTC Hermes 100]
Natafuta battery na housing ya Imate Jasjam haraka. Ziwe mpya au used lakini katika hali nzuri.
Aina ya battery:-
Standard size Li-Ion
Chemistry Li-Polymer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.