Anahitajika mtaalam wa Animals breeding

Anahitajika mtaalam wa Animals breeding

Mshawa

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
787
Reaction score
325
Mahala pa kazi ni hapa Tanzania, mshahara wa kuanzia ni 2 million, pamoja na usafiri na malazi, awe na driving licence, awe pia na uzoefu wa miaka 2 katika kazi hiyo, awe na at least B. sc animals breeding na kuendelea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom