Anahitajika mtaalam wa Animals breeding

Mshawa

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
776
306
Mahala pa kazi ni hapa Tanzania, mshahara wa kuanzia ni 2 million, pamoja na usafiri na malazi, awe na driving licence, awe pia na uzoefu wa miaka 2 katika kazi hiyo, awe na at least B. sc animals breeding na kuendelea...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom