Kwa mtu anayehitaji kuuza au kununua nyumba Dar - Es - Salaam. Tuwasiliane 0657 145555. 0755 099 291 na 0686 200 117 Havilla Real Estate Agent. karibuni
Habari wana JF!
Kuna kiwanja maeneo ya chanika kwa singa kinauzwa. Ni cha miguu 17 kwa 17, Kutoka kwa singa mpaka kilipo ni mwendo wa dakika 12 hadi 15 kwa miguu. Bei ni 2 millions inapungua...
Nokia 6020 used inauzwa.Ina sapot internet pamoja na Opera mini 3.2 vesion,2MB memory,3GP video,mp3.Bei maelewano fika bei uchukue.Hii ni kwa wale wakaz wa Moshi kuja Sanya Juu tu.Nitafute kwa...
Habarini za kazi wana Jf, nimeinasa habari hii hivi punde nikaona niwajuze wadau kwa kuijaribu hii kitu.
Napenda kuwafahamisha kua TTCL imefanya marekebisho yahuduma zake za broadband zisizo na...
SALAAMS WANABODI!
Napenda kuwafahamisha kuwa tumeanzisha huduma ya kupata vitu mbali mbali bila kuathiri shughuli zako na muda wako.
Huduma unazoweza kupata ni zifuatazo kwa sasa;kusajili...
wana JF mm sina uzoefu wa kutosha juu ya hizi printer.........ilka nataka kununua printer yenye uwezo wa ku-print passport size, karatasi kwa rangi zote coloured na coloures. so nahitaji kujua...
habari zenu wanajamvi! Mwenye external cd rom inahitajika, iwe ni dvd writer. Ukiwa nayo nipm tafadhal, specification pamoja na bei ni muhim. Ahsanten!
Used and refurbished -in a box;1.8Ghz duo core/80GB/1GB RAM/DVDRW/14" screen/3 month warranty-8 pcs available.PM or rakeyescarl@yahoo.ie.
599,999TZS -discount(free delivery)
pm me for more information and Questions.
Maswali Yanaruhusiwa.
\\sababu za kuuza ni Kutaka kuwa na Mashine Mpya Yenye Webcam.
COMPUTER INA SIFA ZIFUATAZO
RAM 4GB
HDD 250GB
PROCESSOR DUO 2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.