natafuta desktop nzuri 80gb HDD, 2 OR 1GB RAM, FLATSCREEN, CDR yaani yenye uwezo wa kuban. mkuu yeyote anayeuza au anejua zinapouzwa nzuri aniandikie kila kitu(specification) pamoja na bei.
karibu uhuru computers mtaa wa uhuru na kongo,tupo uhuru round about.
tunauza laptops na desk tops,Dell-probook,hp,na zingine
warranty mwaka mmoja.
ni authorised agent wa DELL na adata flash kwa...
VISIT US @ Properties FOR THE NEEDS OF
BRAND NEW HOUSE,PLOTS,FARMS,BEAUTIFUL BEACH PLOT FOR SALE
CALL 0717686811 FOR MORE INFO AND VALUATION NEEDS.:yell:
wadau saidia hapa tafadhali, kwa anae jua wauzaji wengine wa pikipiki za miguu mitatu aina ya TVS ukiacha CAR & GENERAL.. kwa hapa Dar es Salaaam. Nahitaji kununua.​
Jamani nataka kununua gari kwenye hii kampuni www.beforward.jp, Kwa yoyote ambaye alishawahi kununua gari hapa anieleze kama hii kampuni iko bomba kuanzia gari zake (Kama zina good quality) Je...
Gari nzuri RAV4 J inauzwa.Ni nzuri na Hali yake ni safi.Tafadhari wahi usichelewe.Bei ni nzuri na nafuu.
ni model ya 1995.Njoo uione hapa DSM Ubungo Msewe.
wasiliana nasi 0713211635,0764888895...
Ninauza auntvirus kali, ambazo unaweza kuzi update mwaka mzima, pia bei zangu ni nafuu sana. Aunt virus hizi ziko sildi, kwa mawasiliano piga simu namba +255657315394, karibuni sana
Imported and Registered in March 2012, Duty paid with One year Comprehensive Insurance paid.
Y.O.M: 2001/08, Odometer 95,000km, Displacement 1,390cc, Steering Right, Transmission Automatic...
Iko sokoni.
Gari: Volkswagen Passat ya mwaka 2003. Injini yake ni 1.8L, 4 cylinders, manual transmission. Imetembea 105,000 kms. Imelipiwa kodi na kusajiliwa.
Bei: Tsh million 15 (maongezi...
Habari zenu wajumbe.
Naomba mwenye information za yard za magari ambazo zipo Dar ambapo naweza pata Toyota vista kwa 5m. Sio lazima iwepo yard. Tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.