Kampuni ya Mek-Elekt inajishughulisha na electronic renovation, installation za CCTV cameras. Environmental cleaning, Car Rental, kutengeneza uniform za aina zote. Karibuni sana wadau. Kwa...
guys niaje,natafuta any blackberry iwe Used Either Pearl or Curve Iwe Katika Condition Inayoridhisha Kidogo..pia mwenye Android bt not Ideos za tiGO..bei yangu ni 100,000..nipigie simu au tuma...
Heshima kwenu wakuu,
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kimara,sinza,tabata au magomeni.Nyumba iwe na bedroom 1 preferably self contained,sebule na kajiko.Privacy ni muhimu.budget yangu ni...
Je unakitega uchumi kimojawapo hapo juu na huna nuda wa kusimamia vizuri biashara yako?
Tunazo software zitakazo track mapato yako yote kwa ufanisi na kukusaidia kumanage biashara yako...
Je ungependa kuwa na website ya kisasa na yenye ufanisi kwa biashara au kampuni yako? Usisumbuke karibu Microtelecomms. Tutakutengenezea website ya kisasa na yenye ufanisi kwa biashara yako au...
Wanajamii: Kiwanja kipo Mbweni Mpiji - Kinondoni kinauzwa kwa bei ya maelewano. Kina eneo la sgm 662 ha hati miliki safi. kwa mawasiliano zaidi nipigie 0713-354090
Nina kiwanja nauza GOBA umbali wa 1km kutoka Goba Stand. Kina ukubwa wa mita 40 kwa 40. Kipo mahali pazuri karibu na barabara na umeme haupo mbali.
Kwa anayehitaji awasiliane nami kwa 0762-088603...
moja ina vyumba 26, inafaa kwa matumizi ya ofisi na inaeneo kubwa , pia ni nzuri kwa anayewaza kufanya biashara ya hotel hapa Dar . ingine ni kwa ajiri ya kuishi ni apartment ipo stabey B. na...
Nyumba ina eneo kubwa unaweza paki hata gari 50 kwa wakati mmoja na ipo sehemu nzuri sana . inafikika kirahisi kabisa . inafaa kwa matumizi ya ofisi au kwa anayetaka kufanya biashara ya hotel...
HONDA XR600 INAUZWA!(ARUSHA!)
pikipiki iko kwenye hali nzuri kweli.
Imetembea km 25.000 km tu tangu mpya yake 1993.zaidi ya miaka kumi ilikaa bila kutumia. Kila wakati ilifanya service sawa sawa...
nauza body ya mistubishi Chariot, bado ipo bomba, inasumbua engene sasa me nimekosa pesa ya kubadilisha engene ili niweke ya Rav 4, kama unaitaji ni shilingi milion 2.5, mawasiliano ni 0652-110878
Jamani Ninauza Mafuta halisi ya ALIZETI toka singida sasa yapo Dar maeneo ya mbezi yapo kwenye ujazo wa lita 5, BEI POA ujazo wa lita 5 ni sh.16,000 TU. Mafuta halisi kwa afya bora..Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.