Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kampuni ya Mek-Elekt inajishughulisha na electronic renovation, installation za CCTV cameras. Environmental cleaning, Car Rental, kutengeneza uniform za aina zote. Karibuni sana wadau. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
824 Views
nusu eka sh 5mil. Ni umbali wa km 18 kutoka ferry kigamboni. Sereous buyer pm
0 Reactions
12 Replies
3K Views
guys niaje,natafuta any blackberry iwe Used Either Pearl or Curve Iwe Katika Condition Inayoridhisha Kidogo..pia mwenye Android bt not Ideos za tiGO..bei yangu ni 100,000..nipigie simu au tuma...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
IVECO linauzwa bei TSH MILL40 kwa mawasilino piga simu No. 255-784-280551
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NAHITAJI SCANIA 113, 114 OR 124 SEMI TRELA ZILIZOTUMIKA TANZANIA KAMA UNAYO NI SMS KWA NO. 0712976729 OR EMAIL jamahashi2002@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
949 Views
Heshima kwenu wakuu, Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kimara,sinza,tabata au magomeni.Nyumba iwe na bedroom 1 preferably self contained,sebule na kajiko.Privacy ni muhimu.budget yangu ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Jamani mwenye namba ya lowassa anipatie mm ni mwanae wa nje
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Je unakitega uchumi kimojawapo hapo juu na huna nuda wa kusimamia vizuri biashara yako? Tunazo software zitakazo track mapato yako yote kwa ufanisi na kukusaidia kumanage biashara yako...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni mpya kabisa ina wiki moja tangu kutoka bandarini, wasiliana kinshagad@helmicgroup.com. price can be negotiable
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Sumsang wave II inauzwa mpya...bei laki 5
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Km 68,000 ipo safi. Bei mil. 7.5 negotiable. Mwenye kuhitaji aniPM..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Je ungependa kuwa na website ya kisasa na yenye ufanisi kwa biashara au kampuni yako? Usisumbuke karibu Microtelecomms. Tutakutengenezea website ya kisasa na yenye ufanisi kwa biashara yako au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii: Kiwanja kipo Mbweni Mpiji - Kinondoni kinauzwa kwa bei ya maelewano. Kina eneo la sgm 662 ha hati miliki safi. kwa mawasiliano zaidi nipigie 0713-354090
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina kiwanja nauza GOBA umbali wa 1km kutoka Goba Stand. Kina ukubwa wa mita 40 kwa 40. Kipo mahali pazuri karibu na barabara na umeme haupo mbali. Kwa anayehitaji awasiliane nami kwa 0762-088603...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
moja ina vyumba 26, inafaa kwa matumizi ya ofisi na inaeneo kubwa , pia ni nzuri kwa anayewaza kufanya biashara ya hotel hapa Dar . ingine ni kwa ajiri ya kuishi ni apartment ipo stabey B. na...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Nyumba ina eneo kubwa unaweza paki hata gari 50 kwa wakati mmoja na ipo sehemu nzuri sana . inafikika kirahisi kabisa . inafaa kwa matumizi ya ofisi au kwa anayetaka kufanya biashara ya hotel...
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Habari wanajamvi, Naomba kujua gharama ya dekoda, dish na installation kwa ujumla. Asante
0 Reactions
11 Replies
3K Views
HONDA XR600 INAUZWA!(ARUSHA!) pikipiki iko kwenye hali nzuri kweli. Imetembea km 25.000 km tu tangu mpya yake 1993.zaidi ya miaka kumi ilikaa bila kutumia. Kila wakati ilifanya service sawa sawa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nauza body ya mistubishi Chariot, bado ipo bomba, inasumbua engene sasa me nimekosa pesa ya kubadilisha engene ili niweke ya Rav 4, kama unaitaji ni shilingi milion 2.5, mawasiliano ni 0652-110878
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani Ninauza Mafuta halisi ya ALIZETI toka singida sasa yapo Dar maeneo ya mbezi yapo kwenye ujazo wa lita 5, BEI POA ujazo wa lita 5 ni sh.16,000 TU. Mafuta halisi kwa afya bora..Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom