Landed Property
Member
- Nov 17, 2011
- 40
- 7
Wasalaam,
Linauzwa gari dogo aina ya Suzuki Kei lenye sifa zifuatazo;
1. Limeingia Tanzania Miezi 6 iliyopita
2. Milango mitano (5 doors)
3. Rangi ya fedha (Silver colour)
4. Automatic transmission (4 gear)
5. 660cc (Ukubwa wa injini)
6. Petrol (Matumizi ya mafuta ni kidogo sana ukilinganisha na umbali unaoenda)
7. Lipo katika hali nzuri. Unalipa unaondoka nalo hapohapo.
8. Lipo Dar es Salaam.
9. Bei utapewa kupitia PM kwa atakayekuwa muhitaji.
Asante
Linauzwa gari dogo aina ya Suzuki Kei lenye sifa zifuatazo;
1. Limeingia Tanzania Miezi 6 iliyopita
2. Milango mitano (5 doors)
3. Rangi ya fedha (Silver colour)
4. Automatic transmission (4 gear)
5. 660cc (Ukubwa wa injini)
6. Petrol (Matumizi ya mafuta ni kidogo sana ukilinganisha na umbali unaoenda)
7. Lipo katika hali nzuri. Unalipa unaondoka nalo hapohapo.
8. Lipo Dar es Salaam.
9. Bei utapewa kupitia PM kwa atakayekuwa muhitaji.
Asante