Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Used BB 9700 or BB 9300 Inahitajika..Unapewa 120k,with N95 (Original) Hacked,You wont Get Certificate Errors when You download Apps.. njoo Tufanye Biashara Number Yangu Ya Simu Ni 0718-882873,call...
0 Reactions
0 Replies
724 Views
Ni vitabu viwili, kila kimoja kina page 1300. Kurasa zake zina picha na michoro yenye rangi na ndio sababu sikuona umuhimu wa kuviprint kwenye printer za kawaida. Nahitaji nakala moja kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Blackberry 9700 on sale......brand new it comes with 2 batteries,external battery charger na ipo kwnye box na components zake zote.....ambaye yupo interested pm me...........
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa wale wanaohitaji kushona suits za aina mbalimbali kike na kiume kwa ajili ya arusi na shughuli zingine, mkoani iringa kuna fundi wa ukweli anaitwa komba yupo karibu na kalenga...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Iphone 3g 8gb on sale price 300k,negotiable,but also SWAPP business with other phone like BB or HTC can be done...just PM au try 0716 656967 for business.
0 Reactions
0 Replies
804 Views
Naamba msaada kwa anaejua wapi naweza kupata polythene sheet ambazo ni nene na ngumu.Rangi ziwe clear na nyeusi upana futi 4 au zaidi.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kimara bonyokwa, kina ukubwa wa robo eka. Ambae yuuko interested tuwasiliane kwenye pm.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Natafuta simu ya nokia N95 toleo la 2009 au zaidi. Kwa anaejua aliyonayo au kama unayo tuwasiliane kupitia email; paulakwilini@gmail.com au paulakwilini@facebook.com.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wanaume wa tabora tujitokeze kwa wingi kufanyiwa tohara,ni bure hakuna gharama yoyote,kwa wanaume wenye umri zaidi ya miaka 18 unaweza kuja peke yako au na mkeo kufanyiwa tohara,kwa wenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndg wadau voucher za viwanja vya mradi wa Gezaulole zimetoka. Kwa wale amabo majina yao yalitoka wakafuatilie. Wale amabo hawakupata mimi nimepata lakini uwezo wa kulipia sina. Kama uko tayari...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mie ni Certified Public Accountant (CPA) na nimesajili kampuni kwa ajili ya ushauri wa mambo ya biashara, na pia nimesajiliwa na TRA kama Tax Consultant. Kwa sasa nashughulikia leseni ya biashara...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Heshima kwenu wakuu, ninawiwa kutafuta wawekezaji, wawezeshaji ama wabia kwa ajili ya biashara yangu. Kifupi nina kampuni ya utoaji huduma za mikopo kwa wajasiliamali na wafanyabiashara wadogo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
je unahitaji kununua kiwanjana kipato chako kidogo? kiwanja kipo Mabwe pande kinauzwa milioni 9 ni nusu heka kina michungwa na minazi 2. Umeme upo . kwa mawasiliano zaidi ni PM.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Toyota Carina ED ipo katika hali nzuri kabisa inauzwa. DETAILS ZAKE NI; MAKE/MODEL: TOYOTA CARINA ED; ENGINE: 4S, 1800CC; TRANSMISSION: AUTOMATIC, AWD; YEAR OF MANUFACTURE: 1994; ODOMETER...
0 Reactions
4 Replies
998 Views
Inafanya kazi na ipo katika hali nzuri kabisa bei sh 240,000 . wasiliana na Habibu 0717810318 10x optical zoom with IS Compact, stylish metal body HS System, 10.0 MP CMOS sensor Full HD...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nauza shamba, kubwa sana la ekari tano. Lipo CHANIKA. linafaa kufungua yard,kiwanda,shule,kujenga nyumba au kwa matumizi yako yoyote unayohitaji. umeme upo na linafikika kwa gari hadi hapo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Majina ya waliofaulu usaili wa kwanza kama karani daraja c na nafasi nyingine yametoka hapa Utumishi, bandari. Hivyo wanaitwa kwenye usaili wa pili wa mahojiano. Uje usome jina lako ujue siku ya...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Kiwanja hiki kipo hapa Ada Estate pembeni mwa barabara ya Tunisia kinatazamani na Luxury apartment . karibu kabisa na ilipokuwa hospital ya Moyo au leaders club kiwanja kimezunguziwa ukuta na...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
eneo zuri sana linauzwa ,lina ukubwa wa eka moja . linafaa sana kwa ujenzi wa hostel na recreation center . ni mahali pazuri mnooo . bei ni milion 35 . pm kwa mtu atakaye hitaji. NB: maelewano yapo.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…