Chumba cha kupanga kinahitajika Sinza/Makumbusho.

Chumba cha kupanga kinahitajika Sinza/Makumbusho.

Luvvy

Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
16
Reaction score
0
Nahitaji chumba kimoja au hata viwili(chumba na sebule) vya self kwenye mitaa husika hapo juu.

Naomba hata mwenye namba za dalali tu anisaidie maana nna shida kweli.
 
kuna chumba na sebule sinza na kingine chumba kimoja lakin mm sio dalali naweza kuunganisha na dalali
 
kuna chumba na sebule sinza na kingine chumba kimoja lakin mm sio dalali naweza kuunganisha na dalali

sinza ya wapi?maana na mimi mwenyewe nahitaji je kina maji na umeme?na kodi yake ni sh. ngapi?
 
Nahitaji chumba kimoja au hata viwili(chumba na sebule) vya self kwenye mitaa husika hapo juu.

Naomba hata mwenye namba za dalali tu anisaidie maana nna shida kweli.
kuna chumba master na sebule kina stoo na jiko pamoja na choo kingine cha wageni..iko ndani ya geti ..maeneo ni sayansi knyama kama uko interested nacho niambie nikuunge hutoitaji kutoa pesa kwa dalali coz nakuunga direct kwa mhusika.kodi ni 180000tsh ,kodi mwaka ila hata miezi 6 anaweza chukua ukiongea nae vzuri.
 
sinza mori nathani amesema 150 unaweza lipa mwaka au six month are u ke or me iliniangalie kma panakufaa coz nimefika sehemu yenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom