kuna chumba na sebule sinza na kingine chumba kimoja lakin mm sio dalali naweza kuunganisha na dalali
kuna chumba na sebule sinza na kingine chumba kimoja lakin mm sio dalali naweza kuunganisha na dalali
kuna chumba master na sebule kina stoo na jiko pamoja na choo kingine cha wageni..iko ndani ya geti ..maeneo ni sayansi knyama kama uko interested nacho niambie nikuunge hutoitaji kutoa pesa kwa dalali coz nakuunga direct kwa mhusika.kodi ni 180000tsh ,kodi mwaka ila hata miezi 6 anaweza chukua ukiongea nae vzuri.Nahitaji chumba kimoja au hata viwili(chumba na sebule) vya self kwenye mitaa husika hapo juu.
Naomba hata mwenye namba za dalali tu anisaidie maana nna shida kweli.
sinza mori nathani amesema 150 unaweza lipa mwaka au six month are u ke or me iliniangalie kma panakufaa coz nimefika sehemu yenyewe