Bei weka itakusaidia kuepusha usumbufu kwa ambao wapo mbali na bei unayohitaji.
PM mzee
Atakuta bei huko! Ukitaka na wewe PMkwa hiyo PM mzee ndiyo bei yake?
Watanzania naomba tuwe na tabia ya kusoma na kuelewa. Mtu amesema anauza kiwanja na ameweka asking price ya 3.5Mio alafu bado mnamuuliza weka bei. Sasa ni kwamba huwa atuelewi au huwa tunapenda kudandia tu. Utakuta watu wanauliza weka bei wengi wao sio wanunuaji. Mtu ambaye anaitaji kiwanja seriously huwa ana PM kwani aicost kitu chochote.
Ukiangalia mesage yake utaona kaifanyia editting. Hii inaonyesha original message haikuwa na bei mkuu.
Ahaa,ata mimi nilitaka kushangaa maana bei inaoneka?Ni kweli mwanzo hakuweka bei, baada ya kuambiwa ndio akafanya edit na kuweka bei
Si kasema asking price ni 3.5m? Sasa hiyo siyo bei au tatizo ni maneno 'asking price'?Napata shidasana mantiki ya mfanyabiashara kuficha bei!!!
Si kasema asking price ni 3.5m? Sasa hiyo siyo bei au tatizo ni maneno 'asking price'?
Wakuu kiwanja kinauzwa kipo kisiwani Mafia, kina ukubwa wa square meters 1019 na kimepimwa! Anayehitaji PM please
Ni medium density na asking price is 3.5m Tsh. Eneo ni Kilindoni
Kipo Wilaya ya Mafia, mkoa wa Pwani. Ni kisiwani hali ya hewa safi na sio mbali na bahariMkoa gani?
Mkuu, wateja wapi. Je hati ni ya serikali kuu toka wizara ya ardhi?