Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Na Mimi pia natafuta nyumba ya NHC vyumba viwili sitting Jiko na Choo iwe ubungo kinondoni mwananyamala upanga ilala atakayeipata ya NHC nami nampa 500,000/ Commission
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ipad 1 used lkn haina scratch 16GB haina camera wala haitumii line ni wi-fi ipo ktk condition nzuri kuanzia 450,000 km upendezewa naomba tutaftane ktk 0712000119
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Wadau, Nina gari inakuja mwisho wa mwezi huu, ipo kwenye meli. Naomba recommendation ya clearing agent mzuri based on your experience. Jamaa niliokua nawatumia wamekua kichefuchefu, so sitaki...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii habari ni kweli na hakika kama unataka nyumba ya vyumba 3 mpaka 6 vya kulala kwa bei ya mil 15 mpaka 25 tuwasiliane . nyumba hizi zipo katika maeneo 2 mwananyamala na buguruni .zote magari...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za kazi wakubwa, Mpangaji wangu amepata transfer ya ghafla kurudi nchini kwao hivyo ameniachia furniture zake zikiwepo sofa hizo hapo chini kwenye picha nimuuzie. Bei ya kuuza ni Milioni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wana JF! nyumba inauzwa ipo kiluvya gogoni kibaha, nyumba bado haijakamilika imebaki kupauliwa ina eneo la ukubwa wa nusu heka umbali kutoka kituo cha gogoni ni km 1, kwenye eneo la nyumba...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Shamba linauzwa lipo bagamoyo, limepimwa na lina hati, ukubwa wake ni heka 71 lipo kando ya barabara ya bagamoyo dar es salaam bei yake ni ml190 contact 0712 868 672 au 0714 107 215
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Habari, unaweza jitengenezea website bure. Create a free website in minutes Utapata 500MB Bure pamoja na online support. Jaribu ujionee. Pia utaweza upgrade mpaka 10GB Kwa bei poa.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nahitaji chumba chenye maji na umeme maeneo ya survey dar es salaam..kisiwe mbali sana na barabara. kikiwa ni self contained ntashukuru zaidi mawasiliano 0755815174
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mpya chasis no.. Goes for 6mill negotitable Ni pm number uone gari na maelewano
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nyumba ya kisasa inauzwa iko bunju ni hutua chache kutoka barabara ya Bagamoyo Dar es salaam ina vyumba3 na master1 kubwa, sebule nzuri, choo, bafu, store,jiko na fremu mbili mbele, ina uwanja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nina hitaji simu tajwa hapo juu nina elfu 80....kwa mwenye nayo tafadhali....
0 Reactions
0 Replies
800 Views
Kwa wenye uzoefu na ununuzi wa flat screens na furnitures Dar naomba mnipe uzoefu wenu wa duka ambalo lina fare price but quality products nilizozitaja. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
28 Replies
14K Views
ambaye yuko tayari kutoa iphone 4 nimpe iphone3g pamoja na hela ,tell me ni kiasi gani......iphone3g ipo kwnye condition nzuri,whoever is ready ani pm
0 Reactions
0 Replies
863 Views
Ni mpya kabisa,nimenunua just a week ago kwa alf95...lakin nimepata matatizo....nauza kwa alf75 tu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Simu aina ya Nokia E7 mpya (brand new) inauzwa TShs 600,000/-. Tuwasiliane kwa sms kwenye mobile No. 0765 010 231
0 Reactions
1 Replies
2K Views
VIWANJA MBEZI LUIS KILOMITA 3 KUTOKA MOROGORO ROAD NJIA YA KWENDA GOBA MITA 22*22 MILION 3.5. (kwa taarifa zaidi PIGA: 0718334726-anthony)
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jamii kwa wale anaohitaji hudma ya printing na Photocopying, Napenda kuwataarifu kua tunatoa huduma ya kuprint na copying za kawaida, tender document, michoro ya ramani na kadhalika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nokia e51 inauzwa sh80000 mie niko mwanza kwa atakayekua tayari anicheki kupitia 0764339400. Karibuni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari zenu wadau!! natafuta bodi la toyota corola 4k au carina,liwe linasupport rear diff. Kwa yeyote alienalo au mwenye kujua wapi naweza kupata ani pm. Msiulize injini na gearbox jamani vyote...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Back
Top Bottom