Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari za leo wadau. Kwa mtu aliyenao, au anayefahamu wanakoweza kupatikana, nahitaji Puppy wa kununua aina ya ROTTWELLER (pure breed). BEI: Nitumie PM kufahamisha bei na namna ya kumpata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kina ukubwa wa sqm 1000 kipo boko block C Plot no.... kimepimwa na kina offer kuna umbali wa 1km kutoka barabara kuu. Bei ni 10,800,000 hiyo pei haina kupunguzwa mimi ni dalali mililiki yupo ukiwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hili tangazo nimelichukua jukwaa la uchumi, lakini hata wanasiasa linaweza kutufaa. Nimeongea nao kwenye simu wanasema ukiwa email utapatiwa fomu kisha utafanyiwa kazi. Kwa waliochezewa na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kiwanja 600msq kipo maeneo ya Majohe, 100m kutoka barabarani na kina hati kabisa. Hakuna mtu wa kati bei ni sh 8.6M Barabara ni nzuri kabisa wakati wote. Serious people please inbox for more...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Ina vyumba vitatu vya kulala, sitting rm na kitchen. Ipo ndani ya fensi na unaweza kupaki magari mawili. Maji yapo ya mgao. Kodi ni Tsh 300,000 kwa mwezi. Kwa wale ambao wapo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Vp jamani wana jf mwenye maelezo atiririke bac au co. Size. Bei. nk
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau wote, Tunatoa ushauri wa kitaalamu katika mambo yafuatayo:- 1. Uanzishwaji wa radio mpya. - Vifaa mpaka ordering. - Lisence regestration (TCRA) - Human resources (Tantive...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wote, Tunatoa ushauri wa kitaalamu katika mambo yafuatayo:- 1. Uanzishwaji wa radio mpya. - Vifaa mpaka ordering. - Lisence regestration (TCRA) - Human resources (Tantive...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Naomba msaada wa kukotoa niandae kiasi gani kwa Tshs. ili kulipata hilo gari na kulisajili hapa Bongo
0 Reactions
6 Replies
3K Views
natafuta ofisi ya kupanga, nahitaji sehemu kulipo na ofisi zingine pia, sehemu iwe ya kuvutia kwashughuli za kiofc/isiwe frem tafadhali. mahala/sehemu from eneo la ubungo to shekilango au ubungo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, kuna promotion/sampling ya kampuni moja tulifanya na tukakusanya majina pamoja na namba zao za simu.Kwa yule anaehitaji nimuuzie tuwasiliane.Ni contacts kama 3,000 za watu wa Dar.
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Kwa wale wanaohitaji: Nyumba inapangishwa ful tyles ipo maeneo ya Sinza Palestina nyuma ya msikiti na karibu na kituoni ipo poa sanaaa: Inasebule yakutosha,Vyumba 3 Kimoja Master,inachoo cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau, mwenye kujua sehemu ambayo nitapata course nilizozitaja hapo juu naomba anisaidie.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eneo linatafutwa lenye ukubwa wa heka 1-3 Barabara morogoro kunzia kibamba mpaka Visjga kama una Eneo katika sehemu hiyo nijuze ofer yako tufanye biashara ni PM
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Viwanja vyenye nafasi ya kutosha vinapatikana tabata segerea dsm , bei zake ni kuanzia tshs. 13million. karibu sana
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa mbezi juu ya Tanki Bovu.Gharama kwa mwezi ni Tsh 250,000. Ipo ndani ya fensi.Kwa mtu ambaye yupo serious anaitaji nyumba ni PM.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
ninayo blackberry 9000, nataka iphone 4 ku exchange... naweza kuongeza hela. ni pm na bei zako.
0 Reactions
0 Replies
776 Views
naihitaji haraka iwe katika hali nzuri bila tatizo lolote bei maelewano...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Hii ni Camera ya kazi inawafaa wale wenyekushughulika na uandishi wa habari au wenye kushughulika na mambo ya shooting movies n.k.Ni Camera nzuri sana na imetumika lakini ipo katika hali nzuri...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sony DCR-VX9000E Pal Full Size DV Camcorder 3CCD ya kazi ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo tayari kwa kuanza kazi.Kama mnavojua kampuni ya SONY ni moja ya kampuni zenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom