Kwa anayetafuta kiwanja hiki hapa

Kwa anayetafuta kiwanja hiki hapa

Kariba1

Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
75
Reaction score
4
Kiwanja kinauzwa mivumoni kipo karibia na shule ya st. Patrick kina ukubwa wa 30mita kwa 20mita
maji umeme vipo gari linafika mpaka kwenye kiwanja bei yake ml6 kwa anayehitaji piga 0714107215
 
Mivumoni Madale ndo kule watu wanakochinjana??? Na hapo unamaanisha nini Milion 6 au Milion 16 ???
 
Bei yake ni milion 6, surveying in process but majirani wote tayari wana title deeds
 
King Kong III
naona umelala, hujui mivumoni kama iko Dar es salaam? we endelea kulala tu waache wajanja wa mjini wachukue viwanja

Mkuu jibu vizuri hilo swali,si watu wote tunakufahamu Mivumoni lkn tunamahitajio.
 
Back
Top Bottom