Dafo
Member
- Aug 1, 2012
- 75
- 69
Habari wakuu, nauza incubator ndogo ya mayai 60,inatumia umeme bei ni 230,000/=
Na pia washing mashine brand name ni BEKO, RPM 1000, inauwezo wa kufua nguo kilo 5, bei yake ni 500,000/=.Kwa anayehitaji anaweza kuni PM. vitu vyote vipo dar.Asanteni.
Na pia washing mashine brand name ni BEKO, RPM 1000, inauwezo wa kufua nguo kilo 5, bei yake ni 500,000/=.Kwa anayehitaji anaweza kuni PM. vitu vyote vipo dar.Asanteni.