Nokia E5

Nokia E5

Mbavu za Mbwa

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2011
Posts
303
Reaction score
154
Salaam!! Ninataka kununua simu aina ya Nokia E5!! Huwa inakwenda kwa bei gani?? Nipo Tunduru jamani na sina access ya maduka ya simu. Kuna mtu nataka nimuagiza dar
 
Mkuu unamaanisha 650,000?au unaongelea issue za mchina?lakini hata mchina 'feki' E5 ni zaidi ya laki. KUWA MAKINI! oldonyo;mwanza ni sh 65000 cjui sehemu zingine.
 
haiwezi kuwa elfu 65000 hata kama ya wizi...by the way nakushauri pia usinunue mchina bota ununue simu ya tochi...tatizo upo mbali ningekutafutia ya mtumba fasta hapa bongo
 
mi nauza orginal 270000 ipo kwenye hali nzur bei negotiatable
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom