Kwa wahitaji wa viwanja vilivyopimwa hivi hapa

Kariba1

Member
Aug 20, 2012
75
4
Khabari wana JF! kwa wale wanaohitaji viwanja vilivyopimwa

1. kuna kiwanja kipo mbweni kina ukubwa wa sqm 1000 bei yake ni ml 28

2. kiwanja kingine kipo bunju b block no'14 chenye ukubwa wa sqm 619 bei yake ni ml 23

3.pia kuna kiwanja kingine mbweni chenye ukubwa wa sqm 920 bei yake ni ml 27

kwa anayehitaji piga 0714107215
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom