Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni Toyota Cresta; 1997 model; 1998cc; AT; 99850km (10 July 2012); lipo katika hali nzuri; lipo Dar es Salaam; linauzwa wakati wowote na unanunua na kuendelea kulitumia wakati huo huo kwani halina...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Khabari wanajamii! kuna kiwanja kinauzwa bagamoyo mjini maeneo ya ukuni, kiwanja ni medium size kimepimwa na ukubwa wake ni sqm 780. bei yake ni ml 7.8 huduma za jamii kama maji, barabara na umeme...
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Wadau, Nauza BMW 3-Series 318ti M-Sport ambayo imetoka bandarini Ijumaa ya tarehe 21st Sept, 2012 Gari hii ni nzuri na zifuatazo ni details zake. YOM; 1999 Odometer: 92,400 km CC: 1,890...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau, Nissan Terrano Regulus inauzwa, Imetoka 19/09/2012 Bandarini. STAR FIRE 4WD PETROL Make; Nissan Model: Terrano Regulus CC: 3,270 YOM; 1996 Transmission: A/T Odometer:85,000Kms Color...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Memory card 1 gb sh 7000/= 2 gb sh 9000/= 4 gb sh 14,000/= flash disk 1 gb sh 11,000/= 2 gb sh 13,000/= 4 gb sh...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Salaam wakuu, Tafadhali ninaomba yeyote anayemfahamu msichana aliye smart na charming kiasi, mwenye uwezo wa kuuza genge ani-PM. Hii inaweza kuwa promotion kwa huyo housegirl wa jirani yako na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
galaxy note inauzwa...Used 1 month and a half in good cond. Screen porotector Custom back cover s3 operating system installed And charger Pm or 0756 412 337 for info....cheerz XD!
0 Reactions
0 Replies
940 Views
Nauza bata mzinga wakubwa kwa wadogo namba yangu 0757-662401
0 Reactions
9 Replies
2K Views
workshop on enterprenueship satarday 29 september 2012 tsh 5000/= for more infomation please call 0683672508 or benkissy@yahoo.com hii kwa watu wa arusha tu wanaopenda...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
  • Closed
Kijana Amepotea Atakaye bahatika kumuona Atujulishe kwa mawasiliano yafuatayo: 0759 013570 0754 401806 0782367288
0 Reactions
10 Replies
2K Views
mtu yoyote ambaye yuko tayari tuwasiliane...lg yangu ipo katka hali nzuri!0654987874
0 Reactions
1 Replies
935 Views
​LAPTOP aina ya hp inauzwa ths 450,000/= bei inaweza kupungua (maelewano) features 150GB HARDDISK WINDOW 7 ULTIMENT GENUINE 1.25GB RAM, Wi-Fi (wireless connection) Intel(R) Pentium(R)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nna mzigo mkononi wa laptop na tablet tuwasiliane kwa 0683714488.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Used Yamaha DT 175 inauzwa, iko katika hali nzuri inatembea. Kwa muhitaji tuma PM.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Imeshauzwa
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Nauza kiwanja kiko Kimara Baruti (maarufu Matete au kwa Koka). Urefu futi 117 (mita 35.7); Upana futi 60 (mita 18.3); Eneo (Area) 7020sq.ft (653.31sq.m). Kwa mnunuzi nitumie email kilibata@iit-tz.com
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Shamba linauzwa ekari moja liko kibaha kwa Mathias km 6 toka morogoro rd,barabara inafika bila shaka yoyote. Bei 2.5 mil nipigie kwa ufafanuzi au swali. 0752553959/0719081205
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, Kuna mtu ameniletea dili la kiwanja kinauzwa huko Tuangoma Kigamboni. Kwa ninavyofahamu kigamboni inaleta mashaka sana hasa pale ambapo kiwanja hakijapimwa kwa kuwa mipango miji mingi...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari Wakuu, Nauza HP Pavilion DV7 ya 2012 kwa TZS 700,000/= ni mpya na ina spec zifuatazo Processor Name: Intel Centrino Dual Core Processor Speed: 2.4 GHz Operating System: Windows 7...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Kiwanja na nyumba kinauzwa pugu kinyamwezi.nyumba :- 4 bed rooms (muundo wa kisasa),korido,sitting room, ila bado kupaua tu.kiwanja:- kipo barabarani,kina nafasi ya kutosha kabisa.bei:-...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom