wakuu habari,natafuta chumba cha kupanga buguruni,kiwe kizuri,seling board safi,kisiwe kina vuja,kiwe ndan ya fens,usalama uwepo,in short kiwe cha kisasa cha kukaa mtu mstarabu,piga hz no.#0719477815
Samsung Galaxy Tab 7.7 ina 16GB internal memory na 1GB Ram. Bei ni TZS 550,000/=
Inakuja na:
- Leather Pocket yake with keyboard
- Charger
- Inasupport up to 32GB memory card
Tuwasiliane...
Ndugu wana GREAT THINKER kwanza natakunguliza shukrani zangu kwa wana GT KWA JINSI MNAVYOTOA USHAURI MZURI KILA NINAPOHITAJI USHAURI, THANKS VERY MUCH AND GOD BLESS U ALL. NIna Toyota Rav 4...
Napangisha Apartment ,iko maeneo ya Tabata Sigara.Iko 2nd floor, Ina vyumba viwili vya kulala,living room cum dining,jiko,store,common washroom,balcon mbili,luku inajitegemea na maji yapo.kodi...
Wapi?Kimara Mavurunza. Kilometa mbili kutoka Morogoro Rd (Kimara mwisho).
Ukubwa? mita 28 kwa 26
Bei? milioni 15
Sifa zingine?
. Umeme upo
. Barabara ipo mpaka kiwanjani
. Ni sehemu ambayo tayari...
Yale maonesho ya kimataifa ya biashara Guangzhou, China ndio yameanza.
Tunawakaribisha wote mnaopenda kuhudhuria maonesho hayo. Mtapata fursa ya kuona bidhaa mbalimbali ambazo mnawezakuzitumia...
The world of Internet surfing has expanded over the years. The days of needing a big chunky PC are far behind us and the Internet has moved from just being at the desk to being in every part of...
nilisoma ktk habari za jf long kidogo............na nilona mjadala ulohusu mashine za kutotolea vifaranga ie incubators..,
sasa leo nimekuwa muuzaji wa hizi...na zinapatkana kwa oda ,bei ni tsh...
NOW AVAILABLE IN MAJOR BOOKSTORES IN DAR: "Majeruhi wa Mapenzi...." Kitabu ambacho kimekuwa ni gumzo kwa wasomaji wa lugha ya Kiswahili... sasa unaweza kukipata maduka ya Scholastic (Mlimani City)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.