Naitaji laptop ya kununua

Naitaji laptop ya kununua

Spinster

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2012
Posts
487
Reaction score
138
naitaj laptop used ,isiwe mini,
iwe na web cam.
Bei iwe laki 3
 
Kwa bei hyo yenye webcam nduguyangu kupata sijui labda uambulie mini tu na ambayo hautaki,mie ninayo acer ni kubwa 15inch disk 500gh ram 1gb core 2 duo,bei 400000tsh if interested holla 0713388226
 
naingiza kutoka dubai kwa bei nzuri sana ila naletwa mpya tu! unahitaji aina gani?
 
nina samsung RV 510
*RAM 1GB
*HDD 80GB
*PROCESSOR Dual core 2.1 GHz
*CAMERA
*DVD RW
*SCREEN 15.6 inches
*Dar es salaam ndipo mahala ilipo
Inaenda kwa Laki tatu na nusu (350,000/=). Kama unahitaji wasiliana na mimi kupitia namba 0714894798. Ipo katika hali nzuri.

2012-10-20 10.29.56.jpg 2012-10-20 10.29.56.jpg 2012-10-20 10.34.23.jpg 2012-10-20 10.29.03.jpg 2012-10-20 10.33.38.jpg
 
nina samsung RV 510
*RAM 1GB
*HDD 80GB
*PROCESSOR Dual core 2.1 GHz
*CAMERA
*DVD RW
*SCREEN 15.6 inches
*Dar es salaam ndipo mahala ilipo
Inaenda kwa Laki tatu na nusu (350,000/=). Kama unahitaji wasiliana na mimi kupitia namba 0714894798. Ipo katika hali nzuri.

mbona umetoa namba za gari kaka????
 
Samahani jana jioni nilikuwa offline kwa maasaa kadhaa. Ila kwa sasa napatikana hewani waweza nicheki
 
Hehe Spinster..mi ntakusaidia kuangalia usalama wa mali yako! uniite unapoenda kuichukua.
 
Last edited by a moderator:
Nipo dodoma kwa sasa yeyote aliye na laptop ya kuuza 2gb,DVD ROM,HDD 80 isiwe mchina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom