Ununuzi wa simu

Josmiwa

Member
Oct 10, 2012
6
0
Habari Wana JF
Natafuta simu ya kununua
Aina YA sumsung isiyozidi 200000Tsh
Niko pande za Morogoro
Kwa mawasiliano zaidi 0717499818
 
Habari Wana JF
Natafuta simu ya kununua
Aina YA sumsung isiyozidi 200000Tsh
Niko pande za Morogoro
Kwa mawasiliano zaidi 0717499818

Je unataka used kutoka kwa mwanajf flani? Au unataka uelekezwe yaliko maduka ya cm? Ama umetembelea maduka mengi ya cm ukakosa cm yenye vigezo vyako?
Unajua sijaelewa hapa! Wachangiaji wengine mnisaidie!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom