WanaJF Mimi niko nje ya nchi natafuta mawasiliano na mtajwa hapo juu nimepewa habari zake na mzungu mmoja kuwa huyo msafiri ni dereva mzuri sana wa malori na nimwaminifu sana wamefanya naye kazi...
Anatafutwa mtu mwenye masters ya linguistics au english kwa ajili ya kuwa lecturer wa chuo cha jordan university college (constituent college of SAUT) morogoro tuma au peleka application yako...
Habari,
Ipad 1 ya 16GB inasupport wireless na sim card(3G). Bei ni 550,000/= uko tayar nicheki 0655-003510
Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
khabari wanajamii! kuna nyumba inauzwa bunju 'a' shule nyumba imekamilika iko full [tiles, gypsum] vyumba4 vya kulala na master1 kubwa, jiko, bafu, public toilet, store, sebule kubwa na...
natafuta nyumba ya kupanga
chaguo la kwanza.
mahali: Iwe sinza au mwenge-dsm
content: Vyumba vya kulala vitatu (3) iwe na sebule 1, umeme, maji, (choo, bafu) ikiwa na uzio poa zaidi...
If you want to start online business or you want to transform your business to online or you want to add online business to your business? and you do not know how? contact us we will help you all...
Mambo vipi wakuu.
Kama wewe ni memba wa facebook na ungependa kupata nafasi za kazi kupitia facebook, karibu u "like" facebook page yetu kwani ina updates za nafasi zote za kazi sekunde hiyo hiyo...
maker-toshiba satelite pro A110
RAM- 512
HARDDISK- 80GB
DVD PLAYER- YES
USB PORTS- 3
PRICE- 350000
FAULTS- BATTERY n TRACKPAD
CONTACTS - 0718355635 OR 0755815174
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.