cheki maduka near Masumi (kisutu) utapata zipo nyingi sana tena naona kama hazina wateja
Natafuta copier hiyo brand new kwa bei nzuri ya sisi walalahoi tuliojiajiri. Nitapata wapi hapa dsm? Msaada tafadhali
Aah mbona zimejazana madukani mkuu?! Angalia kwenye vitabu vya TTCL yellow pages tafuta Ideal Computers Ltd utaona wako mtaa gani kwa hapo Dar kwa MZA wako Posta road karibu na Kuleana Restaurant. Pia kwa Mza utaipata The net kwa Tsh. 2.3m
Jamani namimi nimekuwa natafuta nikaambiwa aina hiyo aliyoitaja mwenzangu ndiyo nzuri
Jamani mbona ghali sana? Je haitapatikana medium size ambayo na bei inaweza kuwa nusu ya hiyo bei?
Nisaidieni na mimi jamani sina hela 2. million wapendwa biashara yangu bado ndogo sana
Nijibuni siwezi pata MEDIUM SIZE?