Nyumba ya kisasa inauzwa, imekamilika yaani full [alminium, gypsum na tiles] ipo bunju ina garden, parking kubwa, vyumba 3 na master1 kubwa, studyroom, diningroom, sebule kubwa,jiko, public...
Wandugu nauza kiwanja chenye ukubwa wa mt 25x30 kipo kata ya Goba kitongoji cha kulangwa along barabara ya kwenda wazo. Kinafikika kwa njia nyingi kupitia mbuyuni, goba( tangi bovu au mbezi ya...
mbele kwa ndani
mbele kwa nje/barabani
nyuma uani.
Nyumba ina eneo la kutosha kwa nyuma pamoja na mabanda kama unavyoona bei 140mil
contacts
065562132
0714812375
Nyumba kubwa inauzwa ipo sinza kwa remi(mita 100 kutoka kwa remi kituoni. ina mabanda ya uani na nafasi ya kutosha kabisa.
nyuma/uani. mbele/barbani eneo la wazi nyuma. ubavuni...
Kiwanja/Fremu inahitajika kwa ajili ya biashara maeneo ya Mombasa hadi kando kando ya barabara kuu au Pugu Kajiungeni Kona. Ukubwa wa chini uwe mita kumi kwa kumi.
Contact:
mobile : 0717 900640...
Natafuta room self contained, umeme na maji visiwe vya shida karibu na posta na pia karibu na barabara Dar es salaam, asap
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
1.Battery gel battery: 12V / 7A
2. Small voltage Sockets:Battery gel battery: 12 v / 7 Ah
Small voltage Sockets:
a. 3 volt
b. 4.5 volt
c.-6 Volt
d. 9 volt
e. 12 volt
3. Car Socket 12 volts / 10...
Wireless cctv monitor cameraNauza cctv Camera pamoja na screen ndogo kama sikosei ni 7 inch.Ni nzuri kwa matumizi ya biashara kama duka kwa ajili ya kuweka usalama kwa vibaka.Lakini hairikodi...
kwa wafanya biashara wadogo wadogo , wanao husika na vyakula mbali mbali ,na kwa matumizi ya nyumbani, tuna watangazia BITES au vitafunwa vipya jijini DAR ES SALAAM , asili yake ni nchi ya...
Land for sale in Mbeya City
Land: 27 Acres* (with Title)
Price: 300 Million Tanzanian Shillings
2.5 km from Tanzania Zambia Highway.
Area: Ilomba
Call 0756 888 330/0754 277084 for more...
Nauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote vinatumia umeme mkubwa (3...
Kama mpiganaji wa porini nipo nikiwaza nchi itapata lini wapiganaji wazuri na ambao ni wazalendo kama mheshimiwa Luhanga aliyefariki jana ambaye alimfanya hadi Marehemu Raisi wa Msumbiji Samora...
Wote tunafahamu stoo ni sehemu ya kuhifadhia vitu, lakini kwanini tuhifadhi vitu miezi na miezi ama miaka na miaka bila kuvitumia? Wakati stoo yako inazidi kujaa, huku nyuma kuna watu (makumi kwa...
Nimeliona hili tangazo katika blog ya Mjengwa kwakweli imenisikitisha sana na hivo nimeona labda niwawekee na wengine wasiojua pengine itasaidia kumpatia msaada.Kwakweli inaonyesha yupo katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.