kichakorojack
Member
- Sep 19, 2011
- 78
- 12
Habari za muda huu wanajamvi.
Mimi nina shida naombeni msaada. Kama kuna mtu yeyote mwenye access ya upatikanaji au anayo mabanda ya kukodi kwa ajili ya ufugaji wa kuku naomba anifahamishe. Ninataka kuanza na kuku 1000 na hayo mabanda yawe maeneo ambayo ni salama na yawe maeneo ya kuanzia mbezi, tegeta, boko, bunju na kuendelea, yaani ukanda huu wa kuelekea bagamoyo ukianzia mbezi. Asanteni sana kwa msaada wenu.
Mimi nina shida naombeni msaada. Kama kuna mtu yeyote mwenye access ya upatikanaji au anayo mabanda ya kukodi kwa ajili ya ufugaji wa kuku naomba anifahamishe. Ninataka kuanza na kuku 1000 na hayo mabanda yawe maeneo ambayo ni salama na yawe maeneo ya kuanzia mbezi, tegeta, boko, bunju na kuendelea, yaani ukanda huu wa kuelekea bagamoyo ukianzia mbezi. Asanteni sana kwa msaada wenu.