Jumba la ukweli linauzwa TABATA KISIWANI kwa bei pouwa!

Tegelezeni

JF-Expert Member
Dec 31, 2009
268
124
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89

-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja

-Ni nyumba mbili kwa moja, kila upande una vyumba viwili, master, sebule, kitchen, dinning, stoo, choo na bafu na imezungushiwa ukuta na mageti mawili kwani kila upande unajitegemea

-iko kwenye mtaa nyuma ya uwanja wa mpira wa TWIGA na unafikika kirahisi

-Nyumba haijakamilika na bei inaanzia 200M, na inapungua kulingana na maelewano

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mzee BEKA kwa simu namba +255 715 263682

Nimeweka watu wangu...


SAM_1140.JPG SAM_1141.JPG SAM_1149.JPG SAM_1158.JPG
 

Attachments

  • SAM_1151.JPG
    SAM_1151.JPG
    701.5 KB · Views: 97
Madalali tunaruhusiwa????
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89

-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja

-Ni nyumba mbili kwa moja, kila upande una vyumba viwili, master, sebule, kitchen, dinning, stoo, choo na bafu na imezungushiwa ukuta na mageti mawili kwani kila upande unajitegemea

-iko kwenye mtaa nyuma ya uwanja wa mpira wa TWIGA na unafikika kirahisi

-Nyumba haijakamilika na bei inaanzia 200M, na inapungua kulingana na maelewano

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mzee BEKA kwa simu namba +255 715 263682

Nimeshindwa kuweka picha mtandao uko down, nitaweka picha kesho asubuhi na mapema.
 
unajua watu wanakulupuka kutaja bei uku wakiwa hawajua hivi nyumba ikauzwe milion 200 hilo ghorofa la kariakoo acha uongo bhana
 
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89

-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja

-Ni nyumba mbili kwa moja, kila upande una vyumba viwili, master, sebule, kitchen, dinning, stoo, choo na bafu na imezungushiwa ukuta na mageti mawili kwani kila upande unajitegemea

-iko kwenye mtaa nyuma ya uwanja wa mpira wa TWIGA na unafikika kirahisi

-Nyumba haijakamilika na bei inaanzia 200M, na inapungua kulingana na maelewano

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Mzee BEKA kwa simu namba +255 715 263682

Nimeweka watu wangu...

View attachment 69732View attachment 69735View attachment 69736View attachment 69737
[/QUOT










Hivi ninyi madalali wa nchi hii mnaipeleka wapi Tanzania???? Yaani kanyumba haka tu unasema kanathamani ya milioni mia mbili????? Huu ni uongo mkubwa...... Hivi hata wewe dalali ukipewa milioni miambili unaweza kujenga nyumba mbovu kama hiyo? milioni miambili siyo mchezo wewe!!!!!
 
Nani kakudanganya kariakoo nyumba inauzwa mil 200? Hata kiwanja hupati kwa hiyo bei


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
unajua watu wanakulupuka kutaja bei uku wakiwa hawajua hivi nyumba ikauzwe milion 200 hilo ghorofa la kariakoo acha uongo bhana

Wewe ndiyo umekurupuka, ghorofa kkoo liuzwe millioni 200?!!!.....pesa ya nyanya hiyo dogo hata gofu huuziwi 200 kkoo!
 
ww unasingua bhana me nishaingia katika website za mauzo nimeongea na wenye nyumba mbezi beach nyumba ya kisasa ni kubwa ipo karbu na bahari ina swimming pool ina kila kitu katka mahtaj ya sasa na bado ni $450000 sasa itakuwa nyumba ya tabata ww vipindugu
 
ww unasingua bhana me nishaingia katika website za mauzo nimeongea na wenye nyumba mbezi beach nyumba ya kisasa ni kubwa ipo karbu na bahari ina swimming pool ina kila kitu katka mahtaj ya sasa na bado ni $450000 sasa itakuwa nyumba ya tabata ww vipindugu

Thats more than half a billion!
 
Back
Top Bottom