Make Scania
Model 93 HP 280
Year 1995
Km 460.332
Bei Milioni 33
gari hiko kwenye hali nzuri, gari inayouzwa ni hicho kichwa kinachosomeka 93/280, inauzwa bila ya...
Habari wadau! Wandugu natafuta informationza za soko la dagaa wa chakula cha kuku!kwenye mikoa ya Mbeya, Iringa n.k. Soko lake likoje huko? Wanunuzi haswa ni kina nani? Wafugaji, watengenezaji au...
Napangisha kwa mkataba wa miezi sita, na kodi kwa mwezi ni tshs. 100,000/=, ina tiles ndani ya chumba na nje ya kibaraza. Ina mlango wa kioo wa kuslide
ipo mtaa wa changombe inatazama bara bara...
Kama majibu ni ndiyo tuwasiliane . tunazo apartment za kuuza katika maeneo ya kariakoo, upanga , masaki na mikocheni. pia tunayo maeneo ya kuweka ATM machine katika hayo maeneo. kwa maelezo zaidi...
hii nyumba ipo mbagala chamazi. ipo ktk eneo salama kwa makazi ya watu . kama utanunua kama ilivyo utauziwa Tsh. 25m na kama utataka ikamilike kwa kila kitu utauziwa 35m.
nyumba ina vyumba 4 vya...
Wakuu naomba kufahamu kodi za magari haya, mpk kuliweka barabarani: 2005 Toyota Mark X, 2400cc, 2004 Toyota Verossa, 2000cc, 2004 Toyota Camry, 2005 Audi A4, 2000cc. Nimeshindwa kutumia kikokitoo...
hello, nahitaji kununua a 1996-1999 toyota rav4.
must be well maintained with service records, low milage
B..onward Registration
bajeti yangu ni 9.5m
waweza ni PM
whatsapp 0787887701
Make- Toyota , Model- RAV4, 2003
Color- pearl, Engine capacity- 1.8cc,vvti
Mileage- 157,000,
Condition- Just imported from Japan, not used in Tanzania at all, not registered and in great...
Wapendwa nilikuwa na picha kwenye Camera ya digital(Sanyo)ilikuwa na picha ambazo ni muhimu sana na zimebeba historia yangu na familia kwa miaka mingi ijayo ni bahati mbaya kuna mtu aliingiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.