nimwambie Paw akununulie?
only for corporate ladies? .....mhhhh segregation !!!!!
Handbags from UK for Corporate Ladies are now available (Brown and Black), delivery is free within Dar Es Salaam @130,000/=
For order contact:0784860899
Heading na ujumbe tafauti. Kwenye heading unasema genuine leather, kwenye post hausemi kama ni genuine leather. Genuine leather kwa bei hiyo? Inavutia machoni lakini.
Lol mimi nauza 70,000 shillings.
Yoyote tunamuuzia,ingawa wanaothamini ubora wa bidhaa kama handbags wengi ni wa aiana hiyo kwa mujibu wa nafasi zao,kumbuka lazima uwafahamu wateja wako unapotaka kuuza kitu...
Nataka nimkamatie moja wifi/shemeji yako sasa atajuaje nimekamata bei mbaya huo mzigo ili anipende mara dufu