Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

mambo vipi wanajf ,naitaji simu iyo lengwa na bajet ya laki 2 mwenye nayo na ambaye yupo tayri kwa iyo bei tufanye biashara no yangu 0713239001
0 Reactions
1 Replies
1K Views
huawei ascend y200 inauzwa kwa 150000 GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 900 / 2100 SIM Micro-SIM Announced 2012, May Status Available. Released 2012, May BODY...
0 Reactions
1 Replies
849 Views
Wakuu ninataka kununua pikipiki sanlg or fekon mpya naomba mwongozo wenu kwa bei na aina ili nikiingia kkoo nisipigwe na wajanja wa mujini
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Nauliza wandugu wapi naweza kubadilisha kioo cha Samsung 2 tablet ya inchi 7 kwani chake cha asilia kimevunjika baada ya kudondoka,kwa anyejua anijuze na bei zake,asenteh
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu. Kiwanja kinauzwa ukubwa ni 23 x 30 m, kipo banana ukonga njia ya kuelekea kinyerezi. Bei 6 million. Kwa atakayehitaji tuwasiliane 0715 761787. Good day!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
wadau nyumba safi kwa kuishi ina vyumba vitatu vya kulala pamoja na jiko bei tsh mil.28 tu piga 0713746265
0 Reactions
0 Replies
3K Views
salamu sana wanajamvi ninahitaji play station 3 na 2 kwa bei nzur................................ msaada ni wap kwa kupata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1:disapointed: SHURANI WAKUU
0 Reactions
3 Replies
993 Views
Nasambaza unga wa sembe pamoja na dona kwenye taasisi mbalimbali kama mashuleni,vyuoni nk kwa chee kabisa. Bei kwa unga wa sembe 50kg ni Tsh 40,000/= na 25kg ni Tsh 20,000/= Pia kwa unga wa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ni Toyota Camry all duty paid (Road Licence &Insurance), CC 1830, Year 1995, Model SV40, First registered 2006. INATEMBEA. BEI 3.5M negotiable. Call 0755 850902 or 0787000133
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ninauza dell desktop computer (saizi ndogo) kwa anayehitaji anitafute kwa 0755965329 au 0717397455 spec. Dual core processor @3ghz 1gb ram, 80hdd with 17inch flat screen dvd rewritable bei...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kwa wakazi wa Dar es Salam, anae hitaji kiwanja aniPM, kuna viwanja vitatu 20x20 bei ni milion 4, viwanja vipo pugu kinyamwezi njia ya kwenda chanika!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi Mambo zenu vipi/ Nauza gari,Landcruiser Prado TX, imetembea km 182023KM,Four cylinders,2500cc,auto,petrol...bei Mil 18...kuna nafasi ya mazungumzo lakini...gari haina shida yoyote ac,radio kila...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Ndugu wana JF nina sim mbili tajwa hapo juu BB 9900 na galaxy s iii mini zote used na zipo katika hali nzuri. Nahitaji mtu wakubadilishananae hizo sim na iPhone 5 au biashara kwa zote mbili kwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
wana jamvi kwa yoyote anayeweza nisaidia pata laptop used kwa tsh.350-400 within this week pliz pm me!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza simu ya samsung galaxy grand duos, ni nyeupe. Iko kwenye condition nzuri sana, haina michubuko kabisa. Inakuja na charger na cover. Ina android version 4.2.2, 8 megapixel camera, na 5 inch...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari, napenda kuwatangazia wale wanaohitaji kununua nyumba maeneo ya kiwalani karibu na shule ya msingi kiwalani, zimejengwa kwenye viwanja vya kupimwa vya serikali, unaweza kuinunua kwaajili ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
ishauzwa tayari thanks kwa wote
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada wenu au kama kuna mtu ana duka la kuuza printer?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
DSTV bado nzima imetumika miezi kadhaa tu. nitafute kwa namba hizo 0689315582
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni Piki2 Bomba Sana. Si Mchina Ni Mjapani Original Uko Ktk Hali Nzuri. Bei Iko Pouwa Kuna Punguzo La Asilimia 10. Hauitaji Tena Kupanda Gari La Watu Wengi Jivunie Usafiri Wako. Bei Ni 3,200,000/=...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom