Nikon camera D40 iko ktk Hali nzuri kwa wale wanaotaka kufanya kazi ya biashara ya kupiga picha ,Bei Tsh 700000.00.
picha kufuata ,Call. 0712652110. DAR
All graduates searchingfor jobs are invited for a discussion and training session on Graduatesemployability. The discussion will focus on employability challenges, jobsearch techniques and the...
Nahitaji pikipiki aina ya boxer bm 100 ama 150, ama honda zilizoingia sasa engine capacity 125. Bei isizidi 800,000. Kama unayo ni pm mara moja. Ni mkazi wa ilala dar.
Jamani wandugu, nauza Play Station2, SONY, DVD-video, DVD-rome, Disc Compact, mpyaaa!! BEI NI SH.220,000 tu, kwa wanaotaka tuwasiliane kwa kingkahindi@gmail.com
Natafuta sofa set used kwa mtu anayeuza. Bei isizi lak 7 na ziwe katika hali nzuri. Kwa aliye tayari ani txt 0717354243 au whatsapp kwa hiyo hiyo namba
Habari wadau..!
Kuna soko zuri la uhakika la madini ya mecury nyekundu hasa inayotokana na mwamba,hata kama unayo ya kiwandani na imehifadhiwa vizuri au kama unajua mtu aliye nayo tuwasiliane...
Kiwanja kina hati milki na kina ukubwa wa mita za mraba 1543 au mita 30 x 51 kina uzio mathubuti iliojengwa kwa nondo na zege nguzo imara na tofari za inch 6. Kiwanja ni kizuri sana unaweza kuona...
Habari zenu wakuu hapa Jamvini,.
Kwa wale mafundi au wataalam wa ujenzi(fundi mwashi) naomba msaada wako, ninategemea kujenga nyumba yangu ndogo ya kawaida kabisa yenye vyumba vitatu na sebule...
Nyumba yenye vyumba viwili vya kulala kimoja kikiwa ni master, sebule + dining, jiko, na public toilet!
Nyumba ipo ndani ya gate na ipo maeneo ya boko califonia, karibu kabisa na barabara
Wadau nahitaji machine ya kuangulia vifaranga maeneo ya dar au kibaha. Naomba aliyenazo aniandikie bei na anapatikana wapi nije kununua. na pia kama ni home made au za nje
Kama unahitaji msaada wa namna ya kuandika research proposal, literature review na dissertation katika social sciences/humanities (hususan management, administration, development studies etc.)...
wakuu ninauza touch apple ipod with 8GB internal memory yenye muonekano mzur still kama iphone4s.ina support wifi,hotspot pamoja na itunes..haina mchubuko wwote iko vizur sana..bei 120,000 only...
Wadada wa JF leo nawaletea HANDBAGS za uhakika kutoka UK,bei ni nafuu sana tsh 60,000/- tu ofa maalum kwa wanaJF,Pia kuna viatu kama vinavyooneka kwenye picha bei ya viatu ni tsh...
Dear all....this is the Best Offer for Best Buyers
Htc wildfire only for 160,000/=tshs
Htc legand only for 160,000/= tshs
Htc desire a8181 only for 235,000/=tshs
Htc nexus one only for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.