Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Haya tena kwa wale wenye kutaka chupi toka ulaya zipo hapo mjini Dar Muwasiliane na huyu bibi anaitwa Kwa jina hili Sister betty namba zake za simu hizi hapa 0754075370 au hii hapa 0715075370 kila...
0 Reactions
23 Replies
15K Views
Mint Condition Ps3 Price----350,000Tsh With pad,cables and 2 game Msg me...+255 756 412 337
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza majogoo ya kuku wa kienyeji (chotara), kuku wamwechanjwa chanjo zote na wanafugwa kwa kufata utaratibu bora wa ufugaji. wana umri wa miezi mitano na Wiki tatu... Wameshanza kupanda. Bei ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nauza gari ya rav4 l, imetengenezwa mwaka 2000, rangiyake ni nyeusi. Iko katika hali nzuri na imekua ikiendeshwa na mwanamke bei yake million 11. sababu ya kuuza: Ninanunua gari nyingine ...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
A private telephone network used within an enterprise. Users of the PBX share a certain number of outside lines for making telephone calls external to the PBX. Most medium-sized and larger...
0 Reactions
1 Replies
957 Views
Natafuta m2 wakuniuzia scrini ya TV pamoja na deki yake
0 Reactions
1 Replies
958 Views
Natafuta m2 wakuniuzia scrini ya TV pamoja na deki yake
0 Reactions
0 Replies
880 Views
waungwana nimepoteza katika mazingira ya kutatanisha nokia lumia 900 mpya,rangi ya bluu ;made in korea.from usa. Kwa yeyote atakae iona tafadhali tuwasiliane!
0 Reactions
18 Replies
2K Views
bei ni milioni 14, umbali na barabara ni dakika 5 tu. maji yako karibu,umeme pia upo karibu.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza, bidha za Stucco Italiano zimeingia nchini. Moja ya bidhaa hizo ni ‘’Classic Venetian Stucco Marmorino Plaster’’ Plaster hiyo inatumika katika kung’arisha na kupendezesha...
2 Reactions
11 Replies
8K Views
habari wakuuuu nahitaji mini laptop aina ya samsung au dell.Mwenye nayo ani-pm pamoja na bei au namba yake ya simu afu nitampigia
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Model - 2000 KM - 85,000 Car Type - Manual Car Engine Type - RAV4 2000 CC Car Owner - Lady Car Condition - Perfect and it is ready for inspection. Please contact me through PM or Mobile Phone...
10 Reactions
46 Replies
10K Views
Salaam ? natafuta gari ya kununua LAND ROVER FREELANDER Iwe ina km zisizozidi 100,000 pia isiwe imetumika hapa kwetu Tz, substitute yake iwe NISSAN X-TRAIL DIESEL Tafadhali mwenye nayo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza Rav 4 ya milango mitano, ya mwaka 2008, imetembea KM 160,000, ya rangi nyeusi, bei Tshs 9,000,000/=. If interested ni PM
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa wale wenye kuhitaji mashamba,basi waje kwangu.nauza mashamba ya heka(acres) 20. mahali yalipo. kijiji cha VIKUGE (SOGA) kongowe-kibaha km 15 kutokea kongowe. kwa maelezo zaidi wasiliana...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kipo Kihonda, Ukubwa Sq 600, umeme upo , maji yapo jirani, kipo ktk plan. Bei maelewano. Cont: 0715500248.
0 Reactions
2 Replies
827 Views
Kiwanja kizuri kinauzwa arusha eneo la engosheraton karibu na shule ya Edmund rice. Urefu ni 34 na upana ni 20. Bei ni 13m ila kuna maelewano hapo. Kwa maelezo zaidi tuchekiane pm.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wa umri wowote especial mwanamke hata kama ana mtoto, maslahi mazuri na kazi sio nyingi. Sehemu ya kazi sio mjini ila ni sehemu ya kati,malazi,kula n.k ni juu ya mwajiri na uhuru wa kutosha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Heshima mbele wana jamvi !! Kama heading inavyojieleza,nahitaji huo mzigo haraka iwezekanavyo,bajeti yangu ni 1000,000= IWE KATIKA HALI NZURI iwe ni ir series ila isiwe ir 1600
0 Reactions
1 Replies
685 Views
Back
Top Bottom