nyumba zinauzwa

nyumba zinauzwa

tondoli

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
207
Reaction score
51
Habari, napenda kuwatangazia wale wanaohitaji kununua nyumba maeneo ya kiwalani karibu na shule ya msingi kiwalani, zimejengwa kwenye viwanja vya kupimwa vya serikali, unaweza kuinunua kwaajili ya makazi au kujenga godown. Bai ni kama ifuatavyo, million 125,90, na 70. Wasiliana nami kwa namba zifuazo, 0756572287,0688661057. Asanteni.
 
Epuka Mataperi

nawafahamu vizuri hawa jamaa na nimepanga kwenye nyumba zao, kuna nyumba nyingine ipo ilala mtaa wa arusha nayo inauzwa, nitawapa taarifa baadaye.
 
Back
Top Bottom