Kwanja Kinauzwa

Kwanja Kinauzwa

Joined
Jun 24, 2013
Posts
6
Reaction score
3
Habari wakuu.

Kiwanja kinauzwa ukubwa ni 23 x 30 m, kipo banana ukonga njia ya kuelekea kinyerezi. Bei 6 million. Kwa atakayehitaji tuwasiliane 0715 761787.

Good day!
 
Habari wakuu.

Kiwanja kinauzwa ukubwa ni 23 x 30 m, kipo banana ukonga njia ya kuelekea kinyerezi. Bei 6 million. Kwa atakayehitaji tuwasiliane 0715 761787.

Good day!

Shukrani kwa tangazo lako mkuu ila huku ni jukwaa la siasa...bila shaka mods watahamisha hii kwenda mahala stahiki
 
Habari wakuu.

Kiwanja kinauzwa ukubwa ni 23 x 30 m, kipo banana ukonga njia ya kuelekea kinyerezi. Bei 6 million. Kwa atakayehitaji tuwasiliane 0715 761787.

Good day!

Mkubwa kuna vitu vime-miss hapa!

•kiwanja kipo ukonga au kinyerezi?
•Maji/umeme vp?
•Miundombinu je? Kuna watu wamejenga jirani? Gari inafika hadi kwenye kiwanja?
•Je hakuna miradi ya serikali ambayo watu wataamishwa kwenye hayo maeneo?
•Picha je?
 
Mkubwa kuna vitu vime-miss hapa!

•kiwanja kipo ukonga au kinyerezi?
•Maji/umeme vp?
•Miundombinu je? Kuna watu wamejenga jirani? Gari inafika hadi kwenye kiwanja?
•Je hakuna miradi ya serikali ambayo watu wataamishwa kwenye hayo maeneo?
•Picha je?

Hayo ni muhimu kuyaainisha, tusubiri majibu.
 
Mkubwa kuna vitu vime-miss hapa!

•kiwanja kipo ukonga au kinyerezi?
•Maji/umeme vp?
•Miundombinu je? Kuna watu wamejenga jirani? Gari inafika hadi kwenye kiwanja?
•Je hakuna miradi ya serikali ambayo watu wataamishwa kwenye hayo maeneo?
•Picha je?

=Kiwanja kipo ukonga mongolandege
=Maji yapo ni mtu binafsi anaunganishia wanaohitaji, mita 50 kuna jirani zangu wawili wameshaunganishiwa maji, itakuwa rahisi kufika kwenye eneo husika.
=Maeneo yote yamejengwa tayari isipokuwa mie, na yanapitika kiurahisi hata ukiwa na gari njia zipo mbili, yakwanza waweza pitia ukonga madafu na nyingine waweza pitia njia ya kwenda kinyerezi unakata kushoto kwenye daraja la jeshi.
=Hakuna mradi woeote wa serikali maeneo hayo, ramani ya hilo eneo tayari ninayo nawezakuitoa kwa mnunuzi.
 
=Kiwanja kipo ukonga mongolandege
=Maji yapo ni mtu binafsi anaunganishia wanaohitaji, mita 50 kuna jirani zangu wawili wameshaunganishiwa maji, itakuwa rahisi kufika kwenye eneo husika.
=Maeneo yote yamejengwa tayari isipokuwa mie, na yanapitika kiurahisi hata ukiwa na gari njia zipo mbili, yakwanza waweza pitia ukonga madafu na nyingine waweza pitia njia ya kwenda kinyerezi unakata kushoto kwenye daraja la jeshi.
=Hakuna mradi woeote wa serikali maeneo hayo, ramani ya hilo eneo tayari ninayo nawezakuitoa kwa mnunuzi.

Umeme je umefika?
kutoka daraja la jeshi(barabara ya kuelekea kinyerezi) ni kama umbali gani hadi huko kwenye kiwanja?
 
=Kiwanja kipo ukonga mongolandege
=Maji yapo ni mtu binafsi anaunganishia wanaohitaji, mita 50 kuna jirani zangu wawili wameshaunganishiwa maji, itakuwa rahisi kufika kwenye eneo husika.
=Maeneo yote yamejengwa tayari isipokuwa mie, na yanapitika kiurahisi hata ukiwa na gari njia zipo mbili, yakwanza waweza pitia ukonga madafu na nyingine waweza pitia njia ya kwenda kinyerezi unakata kushoto kwenye daraja la jeshi.
=Hakuna mradi woeote wa serikali maeneo hayo, ramani ya hilo eneo tayari ninayo nawezakuitoa kwa mnunuzi.

Okay nitamtuma kijana aje kukiona huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom