Habari wadau,
Natafuta mtu mwenye trailer la kuvuta na gari ndogo kama nilivyoambatanisha kwa picha hapo.
Na vile vile kama unaweza kutengeneza tafadhali naomba uni-inbox number yako nitakucheki...
Nyumba inauzwa eneo la itezi mbeya tshs 50m mazungumzo yapo. Ina vyumba vinne vya kulala, sebule, chumba cha chakula na jiko, mabanda ya uani kwa ajili ya mifugo, bustan ipo kwenye uwanja wa eka...
Pata viwanja vilivyopimwa
Mailimoja Kibaha
3 Kilometa kutoka barabara kuu ya morogoro.
Vipo eneo la kilimahewa njia ya pangani.
Vimezungukwa na umeme, maji, barabara.
1square meter = 9500...
Natafuta nyumba ya kupanga kwa ajili ya familia, mpango wangu ni kuhamia tarehe 1 februari mara baada ya kuileta familia huku.
Nahitaji nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala, na sebule,dining na...
NINAUZA FRIJI MPYA GAURANTEE 2 YEARS MWENYE KUITAJI ANIPIGIE SIMU +255719909267 OR +255766772967 INAPATIKANA KIGAMBONI IMETUMIKA WIKI MOJA INAUZWA SHILING 550,000/=
Juzi nilikuwa naangali tv moja ya China ambapo nilikuwa interested nilpoona wanatangaza aina fulani ya incubator ambayo yai moja yenyewe inatoa vifaranga wawili,kama ukiweka trei moja ya mayai 30...
Procedure ni rahisi kabisa
1.Tembelea website ya Sbtjapan.com
2.Chagua gari
3.Note stock ID ya hiyo gari ulochagua
4.wasiliana nami kwa (0719215909) ili nikupe utaratibu wa kuweza kuipata...
Habari wakuu,
Pagala (nyumba isiyokamilika), ipo katika hatua ya kufunga lenta(bimu) ni mpya kabisa imejengwa mwezi November 2015. Ina vyumba 3 master moja, sebule, choo cha wote, jiko na stoo...
Kwa mahitaji ya kurekebisha Computer...kama haiwaki au ipo slow,Ku install Windows xp,7,8,10 au Apple OS.Data Recovery za flash memory cards pamoja na Harddisk. Ofisi ipo kariakoo mtaa wa...
Nauza simu hiyo, ni nyeusi iko kwenye hali nzuri sana. Specs zake kwa ufupi ni kama ifuatavyo:
· Quad core 1.5ghz processor
· 5 inch full HD screen (1920*1080) resolution at 441...
THE FREELANCING WEB DEVELOPER IS AVAILABLE WITH CODING EXPERIENCE IN HTML5,PHP,CSS3,JQUERY..I CAN DEVELOP THE FOLLOWING WEB
SOCIAL MEDIA
E COMMERCE
REAL ESTATE
MEDIA WIKIS...
Habari wana jukwaa,
Napenda kuwataarifu kuwa kupitia kampuni ya Kalahari International, tunafunga CCTV camera za kisasa na teknolojia ya kisasa kabisa kwa bei nafuu.
Ofisi zetu zipo DSM na...
KARIBU PG BUTCHERY
Pata Huduma ya Nyama nzuri, Samaki (Sato, Sangala), Maini, Nyama ya kusaga, Sausage katika Bucha yetu iliyopo Maeneo ya Ukonga Banana - RELINI kwa Mkorea.
Bei zetu ni nafuu...
TANGAZO
Abeti Schools Inawatangazia nafasi za masomo kwa kidato cha kwanza mwaka 2016 na nafasi za kuhamia kidato cha pili hadi cha nne kwa mwaka 2016.
Vilevile inawatangazia nafasi za kujiunga...
Hii ni program maalumu inayoendeshwa kupitia ukurasa wa WHATSAPP,
Program hii ilianzishwa December 15,2015,ikiwa na lengo la kuelimisha jamii juu ya utumiaji lishe salama na kupunguza uzito wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.