Jamani wadau naomba mnisaidie naweza kupata
wapi kampuni inayosafirisha mizigo na bei ni nafuu
na mizigo inafika salama hata kama ni delicate .
Nataka kusafirisha vitu frm mbeya to dar.
Vitu...
Tumia virutubisho vyetu utengeneze upya ngozi yako.vimethibitishwa na TFDA.
Nivizuri kwa watu wafuatao
Walio athiriwa na vipodazi vyenye kemikali
Wenye makunyanzi
Wenye michilizi
Wenye...
Habari na heri ya xmas na mwaka mpya, nawakaribisha katika group la marafiki la kubadilishana mawazo, kupeana mawazo, kuungana pamoja katika furaha na matatizo mwaka 2016. Pia dating tips. Tupia...
Kama kuna mtaalamu wa kuandaa business proposal based on financial support tuwasiliane.. advance nitatoa na nitamalizia baada ya kufanikiwa malengo.. napatikana kwa 0754004189
Mzigo huo umebaki mmoja,
HTC ONE X
Sifa
Internal memory 32GB
Camera: 8 megapixel
Colour : white
Beats by dre audio
RAM one 1GB
Accessories (htc earphones +charge)
Wahi sasa dukan inaenda mkwanja...
Salaam wadau...nauza TV aina ya lg nilikua natumia ofisini sasa ninahama.Ni LG ya silver inch 50.haina ratio lolote ila remote nilimisplace.Bei ni laki 670.Kwa mawasiliano 0689900000
Ikiwa unatumia fedha mara kwa mara kunyonya maji taka ktka kalo la nyumbani,shulen;msikitini, offisin na sehem nyingine kama huzo ..sasa tunaweza kuweka system itakayo kufanya ukae zaidi ya miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.