Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Used for 4 month for more information contact 0714007173
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nahitaji mbuzi kwa ajili ya kufuga, wakipatikana wanaozaa watoto wawili itakua poa zaidi. Idadi ni 50-200. Mtu yeyote anaeweza kuniuzia au kuniunganisha na muuzaji awasiliane nami kwa namba +255...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
natafuta egg incubator hata kama ni used bei maelewano
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jukwaa, Kwa anayehitaji sim aina ya samsung galaxy s4 anicheck kwa no 0715 546818, bado iko poa sana ina mwezi na nusu tangu nitumiwe na bro toka Australia, bei ni tsh laki nne (400,000)...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta mtu yeyote ambaye ni dereva mzur ambaye anasafiri kwenda Tabora kati ya kesho kutwa na J5. Nina gari lakini sio dereva mzur hivyo natafuta dereva anayesafiri kwenda Tabora. Mimi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Nyumba Inauzwa Jijini Mwanza Wilaya Ya Ilemela Bei Million 80 ... Nyumba Ina 1 Master Bed Room, 3 Bed Rooms, Sitting Room, Dining Room, Kitchen, Store, Public Toilet And Bath Room ... Kwa Yeyote...
0 Reactions
46 Replies
10K Views
npo temekeee apo juu $ ni makosa ya uwandishiiii bei sh.75000 elfuuu
0 Reactions
22 Replies
3K Views
WADAU SALAAMU MITSUBISHI CANTER INATAKIWA HARAKA SANA, PESA MKONONI ILIYOPO NI TSH 11 MILIONI KAMA UNAYO UNAWEZA NICHEKI
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Habari wana JF, Kuna kiwanja kilichopimwa na kina OFA kinauzwa, Kina ukubwa wa 592sqm, Kipo maeneo ya Chidachi West, mbele kidogo ya St John University(Kikuyu). Maeneo yameshaendelezwa na yana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo Dar Kitunda tuwasiliane 0714679434 ni mtr cg. Wakuu nashindwa ku attach photo tu njoo whats app nikutimie picha.
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Simu imetumika miezi 6 haina tatizo lolote na haijawahi kufika kwa fundi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu habari za leo natafuta simu tajwa hapo juu kwa yeyote mwenye nayo tuwasiliane tufanye biashara namba yangu 0656072553
0 Reactions
0 Replies
916 Views
UMEMALIZA MASOMO NA UNAHITAJI AJIRA.? JE WEWE NI MUAJIRI/MUAJIRIWA NA UNAHITAJI KIPATO CHA ZIADA..? GEUZA Account zako za Facebook/ twitter/instagram/google+ KUWA PESA. TENGENEZA PESA SASA KUPITIA...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Gari toyota rav4 ya milango mitatu inauzwa ni auto namba b kama inavyoonekana, bei mil 6 kwa mawasiliano zaidi 0712361699
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu natafuta line ya tigo pesa nipo tanga
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Habari wana jf, Nahitaji gari haraka kabla ya mwaka moya Toyota Carina Ti Kati ya namba C na D. Mwenye Nayo tuwasiliane Mimi nipo Dar.
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wote mnakaribishwa kwa washauri wa matatizo ya muonekano wa ngozi, usafi na harufu ya Mdomoni na Makwapani. Tunaondoa matatizo ya Chunusi, Mba, Michirizi, Makunyanzi, Harufu Mbaya Mdomoni na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wadau naHitaji BMW X6 ya kukodi kwa ajili ya harusi..0656624444
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom