Nahitaji mbuzi kwa ajili ya kufuga, wakipatikana wanaozaa watoto wawili itakua poa zaidi. Idadi ni 50-200. Mtu yeyote anaeweza kuniuzia au kuniunganisha na muuzaji awasiliane nami kwa namba +255...
Wana jukwaa,
Kwa anayehitaji sim aina ya samsung galaxy s4 anicheck kwa no 0715 546818, bado iko poa sana ina mwezi na nusu tangu nitumiwe na bro toka Australia, bei ni tsh laki nne (400,000)...
Natafuta mtu yeyote ambaye ni dereva mzur ambaye anasafiri kwenda Tabora kati ya kesho kutwa na J5. Nina gari lakini sio dereva mzur hivyo natafuta dereva anayesafiri kwenda Tabora. Mimi...
Nyumba Inauzwa Jijini Mwanza Wilaya Ya Ilemela Bei Million 80 ... Nyumba Ina 1 Master Bed Room, 3 Bed Rooms, Sitting Room, Dining Room, Kitchen, Store, Public Toilet And Bath Room ... Kwa Yeyote...
Habari wana JF,
Kuna kiwanja kilichopimwa na kina OFA kinauzwa, Kina ukubwa wa 592sqm, Kipo maeneo ya Chidachi West, mbele kidogo ya St John University(Kikuyu). Maeneo yameshaendelezwa na yana...
Simu ipo katika hali nzuri ingawa ina some minor scratches, Pia touch yake imepasuka baadhi ya sehemu upande wa juu lkn imewekwa protector... pia inafanya kazi kama kawaida af pia ipo na cover...
UMEMALIZA MASOMO NA UNAHITAJI
AJIRA.?
JE WEWE NI MUAJIRI/MUAJIRIWA NA
UNAHITAJI KIPATO CHA ZIADA..?
GEUZA Account zako za Facebook/
twitter/instagram/google+ KUWA PESA. TENGENEZA PESA SASA KUPITIA...
Wote mnakaribishwa kwa washauri wa matatizo ya muonekano wa ngozi, usafi na harufu ya Mdomoni na Makwapani.
Tunaondoa matatizo ya Chunusi, Mba, Michirizi, Makunyanzi, Harufu Mbaya Mdomoni na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.