Nyumba inauzwa eneo la itezi mbeya

Nyumba inauzwa eneo la itezi mbeya

dalalizama

Member
Joined
Sep 8, 2015
Posts
20
Reaction score
0
Nyumba inauzwa eneo la itezi mbeya tshs 50m mazungumzo yapo. Ina vyumba vinne vya kulala, sebule, chumba cha chakula na jiko, mabanda ya uani kwa ajili ya mifugo, bustan ipo kwenye uwanja wa eka moja. Kwa mawasiliano wasiliana nami 0754060350
 
Nyumba inauzwa eneo la itezi mbeya tshs 50m mazungumzo yapo. Ina vyumba vinne vya kulala, sebule, chumba cha chakula na jiko, mabanda ya uani kwa ajili ya mifugo, bustan ipo kwenye uwanja wa eka moja. Kwa mawasiliano wasiliana nami 0754060350


Kiwanja kina hati?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom