Wadau naombeni kwa Mwenye uzoefu na alie wahi kukopa au kununua Kiwanja kwenye taasisi za kifedha(Bayport, DCB bank, CRDB...) ivi , inakuwaje? Nataka kwenda moja wapo ambayo mdau utanipa positive...
Nymba ya kisasa ina vyumba vtatu vya kulala pamoja na master bedroom, sitting room, dinning, parking area,public toilet, imeshatiwa umeme huduma muhim zinapatkana
Contact: 0656 698232
Kiwanja kiko kitunda karibu na Mwanagati. Magole kwa Mpemba.
Sqmtr: 455
Bei: 14Ml
Makazi mapya. Mitaa iliyopangika. Kiwanja cha kona.
Karibu PM kwa Maelekezo ya Ziada.
Mzigo upo Iringa tayari kwa mauzo popote. Ni zaidi ya pc 1600 za size tofauti. Tunaweza kukuletea ulipo. Kila size ina bei yake ambayo ni nafuu sana. Unaweza kufanya booking pia ya size unazotaka...
ninauza rav4 ikiwa katika hali nzuri sana.
gari ni automatic
milango mitano
ac inafanya kazi vizuri
model ya mwaka 2000
bei ni milioni 9 maelewano yapo
angalia picha ukipenda njoo tuzungumze...
Kwa mahitaji ya kuandaliwa Tender document kwa ajili ya kuwasilisha kwa watoa tenda huku ukiamini kushinda katika tenda husika, basii wasiliana nasi:
Tender za General supply na utoaji huduma...
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne vinapatkana karibia na shule ya DIDAS MASABURI huduma muhim zinapatkana kwa ukaribu
Contact; 0656 698232
Nyumba Ipo standard ya kisasa zaid ina vyumba vtatu vya kulala pamoja na master bedroom, dinning, store, jiko, public toilet, parking area iliyopgwa fens ndefu ya tofal huduma muhim zinapatkana...
Nauza simu original za Samsung na htc.. Agiza unayohitaji, napatkana dodoma na dar.. HTC M8 500,000/= negotiable
Samsung A7 800000/= negotiable
Samsung grand prime 400,000 /= negotiable...
Rav 4 three doors Year 2002 cc 1800 inauzwa ipo mwanza. Inauzwa milioni 17 maongezi yapo. Imeingia Tanzania mwezi huu 05/2016. Plate number ni DG. Kwa mawasiliano piga namba +255784369230
ni heka moja na nusu. bei ni maelewano ,ni kilomita 3.5 kutoka barabarani. upande wa kushoto kama unaenda bagamoyo,unachukua barabara iliyopita nyuma ya kiromo primary school ,gari inafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.