Nahitaji Mwalimu au chuo chenye course ya uchoraji Dar

Nahitaji Mwalimu au chuo chenye course ya uchoraji Dar

Fika pale nafasi Aert Gallery mikicheni watakupa msaada mzuri tu mana wanafundisha Arts.
 
Nitafute ayseee, me ni noumah kwa kuchora....na nimesomea pia, naweza hata kukufundisha mbinu chache za uchoraji bure bila malipo...sabab napenda kuwasapoti wachoraji wenzangu
 
Nitafute ayseee, me ni noumah kwa kuchora....na nimesomea pia, naweza hata kukufundisha mbinu chache za uchoraji bure bila malipo...sabab napenda kuwasapoti wachoraji wenzangu
mwanangu mimi sijui kabisa utanisaidiaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom