ni heka moja na nusu. bei ni maelewano ,ni kilomita 3.5 kutoka barabarani. upande wa kushoto kama unaenda bagamoyo,unachukua barabara iliyopita nyuma ya kiromo primary school ,gari inafika...
Ni master na vyumba viwili,kuna jiko,maji,umeme na car parking bei Ni Laki 3 kwa miezi 6.
Na pia kuna nyumba maeneo ya kijitonyama,mbezi africana,masaki nk kwa
mawasiliano piga Au sms namba...
Habarini za sasa ndugu zangu. Nauliza kama kuna mtu anauza Subaru sambar yenye vw body kit, ya mwaka 2002.
Kama upo tuwasiliane Tafadhali, au njia ya kuipata.
Asanteni
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne vinapatkana chanika karibia na shule ya didas masabur kwa ukubwa kwanzia 10×10,20×20,20×40 huduma muhim zinapatkana kwa ukaribu sana
Contact...
Wale wa facebook auto group poster (latest version) offa ndio hii;
Unlimited facebook accounts
Unlimited facebook groups
Cron posting (inapost hata ukiwa offline)
Bei ni TZS 30,000/-
Limited...
Zinahitajika Kontena nne (4) za maharage yenye picha na sifa zifuatazo:
Light Speckled Kidney Bean (long shape)
Ukubwa: 220-240pcs/100g
Admixture 0.4% max // imperfect grains 6%...
Tunafanya design na installation ya umeme kwenye nyumba kwa gharama nafuu huku tukizingatia ubora na usalama wa uhakika. Tunafanya kazi katika mkoa wa Dar es salaam na Pwani.
Ndugu wapendwa,
Tunawatangazia kuwa tunatoa training ya special kwa watu wa makazini. Hujui Word, Excel, PowerPoint, ili utoe good presentation, database (access).
Kwa bei nafuu na tupo tayari...
nninauza rav 4 ikiwa katika hali nzuri sana.
gari ni automatic
milango mitano
haijawahi kufunguliwa engine
model ya mwaka 1998
ac inafanya kaz vizur
bei ni milioni 9
angalia picha ukipenda njoo...
Nyumba tulizonazo kwa Sasa
Kwa Sasa tuna
1.Maeneo ya kijitonyama/Makumbusho
-----------------------------------
Chumba master na sebule jiko,choo,car parking mna share.maji na umeme upo.bei Ni...
Wadau habar.
Kama title ilivo ni kuwa kuna nyumba inauzwa maeneo ya Mbweni JKT,bei ni tshs 200mil (upungufu unaongea).ina vyumba 5 na viwili kati ya hvyo ni master bedrooms. Ina squaremeter 900...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.