Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

ni heka moja na nusu. bei ni maelewano ,ni kilomita 3.5 kutoka barabarani. upande wa kushoto kama unaenda bagamoyo,unachukua barabara iliyopita nyuma ya kiromo primary school ,gari inafika...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
ni kifaa kinachotumika kudowngrade ps3,kinapatikana wapi? nitakipataje,mwenye kujua naomba anijulishe tafadhali.Nipo dsm,0658327429
0 Reactions
2 Replies
828 Views
Plate Namba ni B... Bei. TZS 9 M. Call/SMS. 0713661616
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni master na vyumba viwili,kuna jiko,maji,umeme na car parking bei Ni Laki 3 kwa miezi 6. Na pia kuna nyumba maeneo ya kijitonyama,mbezi africana,masaki nk kwa mawasiliano piga Au sms namba...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ipo katika hali nzuri Ila ina crack kidogo upande wa nyuma,bei yake ni Tsh. 230,000/=.ukiihitaji niPM
0 Reactions
3 Replies
2K Views
natafuta simu HUAWEI Y300 anayeuza tuwasiliane hapa hapa kwa kunifata inbox then tutaongea vzuri/ au anayeuza smartphone isiwe ya magumashi.
0 Reactions
2 Replies
884 Views
bado Ipo katika hali nzuri kabisa haina tatzo lolote.bei 150k.ntafte 0659626782
0 Reactions
0 Replies
657 Views
Habarini za sasa ndugu zangu. Nauliza kama kuna mtu anauza Subaru sambar yenye vw body kit, ya mwaka 2002. Kama upo tuwasiliane Tafadhali, au njia ya kuipata. Asanteni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa wakazi wa Dar Es Salaam naomba mnitajie ni duka gani linauza laptop imara au kompyuta za bei ya chini isizidi 300,000/=
0 Reactions
1 Replies
902 Views
Viwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz na shughul nyngne vinapatkana chanika karibia na shule ya didas masabur kwa ukubwa kwanzia 10×10,20×20,20×40 huduma muhim zinapatkana kwa ukaribu sana Contact...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wale wa facebook auto group poster (latest version) offa ndio hii; Unlimited facebook accounts Unlimited facebook groups Cron posting (inapost hata ukiwa offline) Bei ni TZS 30,000/- Limited...
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Nyumba imejengwa kisasa ina vyumba vtatu vya kulala pamoja na master bedroom, sitting room,public toilet,imeshatiwa umeme, kisima cha maj,
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Brandnew IPhone 5s for sale Full accessories(No Box) Price 600,000 Contact 0784780955
1 Reactions
1 Replies
697 Views
Nauza Mashuka From Pakistan Size 8*9 Bei 75
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Zinahitajika Kontena nne (4) za maharage yenye picha na sifa zifuatazo: Light Speckled Kidney Bean (long shape) Ukubwa: 220-240pcs/100g Admixture 0.4% max // imperfect grains 6%...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tunafanya design na installation ya umeme kwenye nyumba kwa gharama nafuu huku tukizingatia ubora na usalama wa uhakika. Tunafanya kazi katika mkoa wa Dar es salaam na Pwani.
0 Reactions
1 Replies
862 Views
Ndugu wapendwa, Tunawatangazia kuwa tunatoa training ya special kwa watu wa makazini. Hujui Word, Excel, PowerPoint, ili utoe good presentation, database (access). Kwa bei nafuu na tupo tayari...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
nninauza rav 4 ikiwa katika hali nzuri sana. gari ni automatic milango mitano haijawahi kufunguliwa engine model ya mwaka 1998 ac inafanya kaz vizur bei ni milioni 9 angalia picha ukipenda njoo...
0 Reactions
0 Replies
615 Views
Nyumba tulizonazo kwa Sasa Kwa Sasa tuna 1.Maeneo ya kijitonyama/Makumbusho ----------------------------------- Chumba master na sebule jiko,choo,car parking mna share.maji na umeme upo.bei Ni...
1 Reactions
0 Replies
786 Views
Wadau habar. Kama title ilivo ni kuwa kuna nyumba inauzwa maeneo ya Mbweni JKT,bei ni tshs 200mil (upungufu unaongea).ina vyumba 5 na viwili kati ya hvyo ni master bedrooms. Ina squaremeter 900...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom