Lijue bati unalonunua limetengenezwa na material gani na yanaumuhimu gani kwako kisha ukienda nunua waambie wakutofautishie na yakwao,usiishie kuambiwa tu je wanavifaa vya kupimia hicho...
Gari ipo kwenye hali nzuri sana alikuwa anatumia mama kwa shughuli za nyumbani amebadili gari ameamua kuuza hii..!! Ina Turbo..maelezo zaidi nimeweka card ya gari hapa unaweza kuipitia..!
0756624618
FUNDI UMEME WA MAGARI
1.Lighting system
2.Changing system
3.starting system
4.Ignition system
5.accesories (radio installation nk),
6.air condition
7.air brake system & electric brake system
8.na...
Wadau kwa wale wote ambao simu zao zitafungwa tarehe tajwa hapo juu.Ninaomba tuwasiliane kwani ninazinunua kwa bei nzuri tu. Ukisoma tangazo hili mjulishe na mwenzio.
Habari wanajamvi, Pata vitabu vya historia ya Nchi yetu kama:- Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes Conflicts and harmony in Zanzibar, Tanzania na Propaganda za udini Kwa bei ya shilingi elfu...
KIWANJA NI TAMBALALE, KIPO KM 2 KUTOKA MAIN ROAD UKUBWA NI 40M*40M.KIWANJA HAKINA MGOGORO WOWOTE.BARABARA IPO HAPOHAPO KWENYE KIWANJA .UMEME UPO.
PRICE .MIL 20 ,MAONGEZI YAPO.......CALL
Buguruni chama, kama unaelekea ubungo,pakti moja 1000,ni msetu wa matunda aina nyingi,jenga kinga,imarisha kinga, boresha afya ya mwili, piga simu no 0652888045 au 0658327429..karibu sana.
Salaam wadau,
Nauza mziki wa gari Complete nikimaanisha booster ya watts 1200,sub woofer ya inch 12,Wires and kits,Radio aina ya kenwood original ambayo ni oft touch kioo inacgheza DVD,MP3,Flash...
ENEO-Kibaha kwa Mathias unapita hosp ya Dk BAKE, UKUBWA-mita 40 kwa 35, BEI-Mil 3 na nusu NB.Kiwanja ni changu mwenyewe hakuna dalali,kwa mwenye uhitaji karibu PM Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.