Wadau habar.
Kama title ilivo ni kuwa kuna nyumba inauzwa maeneo ya Mbweni JKT,bei ni tshs 200mil (upungufu unaongea).ina vyumba 5 na viwili kati ya hvyo ni master bedrooms. Ina squaremeter 900...
Nina gari aina tofauti tofauti aina ya Tax kwa mtaa kwa yoyote yule anaeweza kuniconnect nipate mkataba zifanye kazi aidha Bank, na company yoyote nitakulipa kwa kazi hii.
Nyuma ya mzee yusufu na nyumba ya nne kukoka ktk lami kwa mawasiliano zaid piga cm 0718388008.
Bei ni 15m maongezi yapo.
Shimo la choo kubwa lipo tyr ukubwa wa eneo ni mita 17/17 mbele ya barabara...
Shamba lipo Morogoro, Maeneo ya Kiegea, Bwawa la kihonda kwa bei rahisi..kutoka Msamvu dk 40 kwa pikipiki panaitwa Bwawani unaweza kuchimba kisima Tuwasiliana kwa namba hii 0716792692...
Kiwanja cha kununua kwa pesa isiyozidi mil.3 au 3.5 kiwe karibu na huduma muhimu kama maji,umeme na barabara ndani ya viunga vya MWANZA tuwasiliane kwa 0655206989.
ANGALIZO: NI LAZIMA KIWANJA...
Habari wana jf,Natafuta gari aina ya Nissani note iwe no C au D pia iwe inatumia petroli/gasoline iciwe inadaiwa vibali wala kugongwa au kupakwa rangi.
Viwanja Vipya Kigamboni Dogwe Palm Mwongozo, NHC housing mita 100 toka NHC nani mita 200 Toka Baharini, square meter 750 adi 1600 Vimepimwa vyote kila sqm 1,ni tsh 22,000 tu. Ni kilometer 17 toka...
pikipiki Ipo na hali nzuri aina ya boxer 150 bei yake ni 1,000,000 {million moja} picha kwa whatsap nakutumia hapa nimeshindwa ku upload, nichek kwa 0713415537
Jamani Kiwanja chenye ukubwa wa Square meters 1000 na hati kinauzwa Gongo la mboto karibu na msikiti wa Markaz. Bei yake ni Sh. Milioni 30 na mazungumzo yapo.
Eneo linafaa kwa makazi au Biashara...
Kwa Sasa tuna
1.maeneo ya kimara,
-----------------------------------
Chumba master na sebule jiko,choo,car parking mna share.maji na umeme upo.bei Ni 200,000 kwa mwezi kwa miez 6.
Nyumba...
Full furnished,
Standby generator
Big sitting room
3 bed rooms
Near agha Khan masaki
Usd 5000
+255787688433
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Habari zenu wadau,
Mwenye uhitaji wa nyumba ya kupanga Dar, Gongo la mboto maeneo ya Mzambarauni inapatikana nyumba yenye vyumba viwili na sebule. Bei ni shilingi 70,000 kwa mwezi. Wahi sasa.
Kwa wale warembo nywele mpya kwa bei nafuu Mtu 1 anasuka kuanzia pic 5 had 7 na anaweza kurudia rudia. Pic 1 Tsh 14500. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba +255 652 971 495
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.