Nauza simu tajwa hapo.
Tecno camon c8 kwa bei ya 200,000/= tu imetumika mwezi mmoja bado mpya kabisa.
Sifa zake-
Storage-GB16
CAMERA-5MP MBELE,13MP NYUMA INA FLASHLIGHT MBELE NA NYUMA
RAM-1GB...
Tunauza mayai ya kuku wa kienyeji?(sio chotara) kutoka Iringa vijijini, Tray moja ni Tsh. 15000
Mayai yanapatikana siku za JUMAPILI NA JUMATANO Dar es salaam
Mawasiliano: 0652 962908
Kiwanja (Urefu 40m*25m)kipo sehemu ya makazi yaliyojengwa kisasa.Umeme na maji vipo.Umbali wa Km 1 kutoka Bagamoyo Road.Nyaraka zote za umiliki kutoka serikali ya mtaa zipo.Mimi si dalali ni...
Wanandugu, mlio katika ndoa ambazo hazina uhakika kwa sababu ya kulegea kwa sehemu zenu za siri, karibuni dukani kwangu mwenge kitalu no 789! nauza bikira za kichina yani ukiibandika moja kwenye...
Naitwa Neema, nimefungua kampuni ya usafi. Kampuni yangu inajishuhulisha na usafi wa majumbani, maofisini, kwenye majengo mapya ama nyumba mpya kabla ya kuhamia tunasafisha pia, kufua, kupasi na...
Nyumba/kiwanja ukubwa ni sqm 750,
eneo ni tanki bovu mita mia hamsini kutoka barabara ya bagamoyo opposite na Massana hospital, documents zote muhimu zinapatikana na eneo linafaa kwa matumizi...
Mnatangaziwa semina pala sayansi. Semina imeandaliwa na Google.
Register online hapa.
Digify Bytes Dar es Salaam: Buni Innovation Hub Training on 07th June, 2016. From 10am-4pm
Contact: Esther...
Laptop Acer Aspire Inauzwa Kwa 350,000 Pesa Ya Tanzania............. Specs Zake Ni : Ram 2 Gb, Hard Disc 320, Proc : Intel Celeron T3300 Dual Core. Kwa Wanunuzi Mawasiliano : 0627952599 . N.B ...
Halina tatizo lolote kuna uhitaji wa pesa,linapatikana salasala dar.
0713715772,Nitaweka pictures zinagoma kwa sasa but check me whatsap nitakutumia!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Habarini wana JF
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,
Thamani ya vitu vilivyomo inajumuisha viti viwili in good condition, kabati za pembeni 2 za aluminium, vioo vikubwa viwili vya vilivyokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.