Frem inapangishwa no dalali unaweza lipia miezi mitano kwanza. Ipo mtaa mzuri Tegeta Nyuki na ina parking yakutosha inafaa kwa biashara yoyote. Kuiona piga 0716070792. Bei yake laki na 50.
(150000)
AGRICULTURAL MACHINERY,FIAT,BORMAG ROLLER,PERKINS MACHINES,BENZ n.k
Mchanganuo wa gharama ni kama Ifuatavyo
1.Magari madogo ya Japan - $30=30 × 2195=Tshs.65,850/=
2.Magari size ya kati- $50=50 ×...
AGRICULTURAL MACHINERY,FIAT,BORMAG ROLLER,PERKINS MACHINES,BENZ n.k
Mchanganuo wa gharama ni kama Ifuatavyo
1.Magari madogo ya Japan - $30=30 × 2195=Tshs.65,850/=
2.Magari size ya kati- $50=50 ×...
Kama unatafuta spare za suzuki carry truck Honda Truck Mitsubishi na Dahatsu Hajet zinapatika kuanzia Engine Gea box na vifaa vingine mbalimbali kwa maelzo zaidi piga.
Namba 0718879919 au...
Nyumba ya kisasa ina vyumba vtatu vya kulala pamoja na master bedroom, sitting room, jiko,ina uwanja mkubwa wa kutosha nyumba n kama unavyoiona kwny picha umeme unawaka BT bado haipgwa rangi nje...
Wapo wapi waandishi mashughuli? Nauza vitabu vyangu ambavyo bado havijachapwa, mwenye uhitaji tuwasiliane 0652262797.
Pia nafanya Shughuli za kuhakiki na kuhariri kazi za waandishi mbali mbali.
Hekar mbil zpo magenge chanika umbal wa mita 860 kutoka barabara ya lami hazijapimwa ila zina document halal za mmilik anaetambulika na serikal ya mtaa
Contact; 0656 698232
Kiwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz kinauzwa kwa ngwale chanika kipo kwny barabara ya mtaa na kina nguzo ya umeme hapo hapo yaan n wakuangushia tu baada ya ujenz lkn pia lina na banda la vyumba...
Kiwanja kwa ajil ya ujenz wa makaz kipo kwny barabara kubwa ya mtaa n mitaa 600 kutoka barabara ya lami huduma zote muhim zinapatkana contact 0656 698232
Nyumba ya kisasa ina partition mbil ambayo kila moja ina vyumba vtatu vya kulala pamoja na master bedroom, sitting, jiko,public toilet,vyo hvyo kwa partition nyngne kiwanja kimepimwa ila upande...
Unataka kujenga kwa unafuu?? Kupata bati kwa bei ya agent na si kama mtumiaji wa mwisho za IT5,za mikunjo gauge28 na 30 zenye ubora wa hali ya juu,upana wa 107cm,98cm na 87 cm kwa bei ya...
habari za leo ndugu zangu, mi nahitaji kujua mashine hii inatumika kutengeneza/kukunjia maua kwenye mageti ya grill; inaitwaje kitaalamu, bei yake na wapi naweza kuipata.
natanguliza shukurani.
Wadau wa Zanzibar kama mpo natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Michenzani, Kikwajuni, Mtendeni, Mlandege na Kilimani.
Iwe na vyumba viwili ya kulala au vitatu.
jiko na living room.
Working Based on existing GSM/GPRS network and GPS satellites, this product can locate and monitor any
remote targets by SMS or GPRS.
PRICE TZS 300,000/=
AL MADINA COMPUTERS LTD
Tunafanya huduma ya kutengeneza magari ya aina mbalimbali (Diagnosis) kwa kutumia Komputer kutoka (America,Asia,Europe na China) na heavy equipment kama Cat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.