Kwa yeyote mwenye ufahamu wa bei ya chalk mould naomba anifahamishe. Lkn pia nitafurahi kama utanijia maduka na mitaa zinapo uzwa.
Natanguliza shukurani.
Natafuta watu watatu wa kuanzisha nao biashara ya kutengeneza wine kutokana na rosela na matikiti maji. If upo interested tuwasiliane, mm ni mtaalamu wa Chakula kutoka Sokoine University of...
Tunauza soft copy na hard copy ya kitabu cha RICH DAD POOR DAD cha Robert Kiyosak kwa bei nafuu..Hard copy tunauza 9.000/-Tshs na soft copy tunauza 3,000/-Tshs...TUPIGIE 0624-079887
Tovuti ya Tanzapages inawakaribisha wadau na wajasiliamali kusajili biashara zao bure mtandaoni kwa kutumia tovuti hii www.tanzapages.co.tz. Wafanyabiashara wadogo na wakubwa, wanaweza kuitumia...
Habari,nawakaribisha tena mayai ya kuku wa kienyeji bado yapo mengi.Trei moja yenye mayai 30 tunauza elfu 15 tu na kukuletea popote ulipo.Kwa wale wa mikoani na Zanzibar tunatuma pia.
Msambazaji...
Fresh Product tuna sambaza Bidhaa Asilia Mahotelini, Maofisini, wafugaji, Nk tutakuletea hapo ulipo Kwa DAR SS ALAAM kwa bei nafuu.
Kuku wa kienyeji pure wakufuga umri miez 3/4 @Tsh 10000/=...
Laptop aina ya hp probook 450 g2 series inauzwa. Imetumika kwa muda wa miez miwili tu.
Specification zake ni km ifuatavyo;
Ram 4gb,
Harddisk 500gb,
Webcam,
Capable of fingerprint and many more...
Mpaka sasa kijana mtanzania mwenzetu anaongoza kwa kura huku akifatiwa kwa ukaribu sana na mpinzani wake kutoka Bangladesh kwa ukaribu,, jamani utaifa unahuitajika sana ili kumuwezesha kushinda...
Nahitaji machine ya kupulizia mifugo dawa. Mifugo ni Ng'ombe na Mbuzi.
Jina la machine nimesahau ila yenyewe in Ubao unakanyagia chini halafu mkono mmoja unakuwa na kazi ya kukusukuma mbele na...
Plot IPO mitaa ya Goba stand , njia nzr kabisa ya kufika kwenye uwanja mita 500 kutoka stand
Bei 36ml na maongezi yapo...karibu sana kama wewe ni muhitaji ukutane na muuzaji mwenyewe hamna mtu...
Ni simu orijinoooooooo kabisa ipo katika hali nzuri kabisa
Picha na taarifa zaidi ni 0717184353
Bei ni 180,000
Inakuvusha mwezi wa sita kwa mwendo kasi bila shaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.