Mebuttefly
Senior Member
- Feb 5, 2014
- 110
- 93
Tunauza soft copy na hard copy ya kitabu cha RICH DAD POOR DAD cha Robert Kiyosak kwa bei nafuu..Hard copy tunauza 9.000/-Tshs na soft copy tunauza 3,000/-Tshs...TUPIGIE 0624-079887
Nisaidie link kama hutojali mkuu! I'm in need of it!Mbona softcopy imo humu JF na unaishusha bure kabisa.
May be hard copy
Bonyeza link hiyo hapo chini.Nisaidie link kama hutojali mkuu! I'm in need of it!
Bonyeza link hiyo hapo chini.
https://www.jamiiforums.com/threads...ihitaji-nitafute.315875/page-60#post-12974636
Post namba 1190, utakiona aiseeee
ha ha hahahaha! mnaharibu biashara jameni!
Shukrani mkuu, nimeshakipakua na nimeanza kukisoma..Bonyeza link hiyo hapo chini.
https://www.jamiiforums.com/threads...ihitaji-nitafute.315875/page-60#post-12974636
Post namba 1190, utakiona aiseeee
Inawezekana mkuu lakini siyo kila kitu ni cha kuuza, vingine tunapeana free. JF ni platform iliyosheheni kila kitu na endapo mleta mada angeshirikisha kidogo ubongo wake angetambua soft copy siyo ya kuuza na tiyari ipo humuhumu Jf, may be hard copy ingekuwa sawa.hahaha! mnaharibu biashara jameni!