Naombeni kitabu cha rich daddy poor daddy

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,035
Nimesimuliwa tu kikanivutia sana!naomba softcopy yake kwa yoyote aliyenacho
 
Nimesimuliwa tu kikanivutia sana!naomba softcopy yake kwa yoyote aliyenacho

Pole sana lakini nenda kwenye maduka makubwa ya vitabu, sina uhakika pale Game na lile duka la Steers kama bado yapo, maana nimejichimbia Makete muda mrefu kwa hiyo sijui habari za huko Dar. Lakini Mimi huwa napata vitabu vyangu kutoka hapa mkuu [ame]http://www.amazon.co.uk/Rich-Dad-Poor-Teach-Middle/dp/0446677450/ref=sr_1_3?ie=UTF8&s=books&qid=1252710425&sr=1-3[/ame]
Just a click baada ya wiki 2 hivi kipo Makete
 
Hicho hapo, kipakue.

Ila font yake kama haijakufurahisha ngoja nikutafutie chenye font nzuri kutoka kwenye maktaba yangu
 

Attachments

  • Rich Dad, Poor Dad - Robert T. Kiyosaki.pdf
    723.6 KB · Views: 32
Back
Top Bottom