Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Sold out deal closed
0 Reactions
6 Replies
2K Views
kwa wale wapenzi wa movies, ninacollection za movies zaidi ya mia moja (ila sio bongo movies) kwa anahehitaji tuwasiliane bei ni nafuu tu, kuna series ya game of throne kuanzia season 1, narcos...
0 Reactions
7 Replies
958 Views
Nyumba ina vyumba vnne vya kulala (1master&3single),sitting room, public toilet, nyumba ndn ina marekebsho kdgo kama tiles,umeme ushalipiwa BT bado haujawaka so document zote za tanesco kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja kina hatimilik kutoka wizaran, lkn pia Kipo mita chache kutoka barabara ya lami Contact; 0656 698232
0 Reactions
0 Replies
686 Views
Nyumba ina vyumba vtatu(1master&2single),sitting room ,public toilet, kisima cha maj na kinatoa maj, umeme unawaka, ipo barabara ya mtaa so unaeza weka frem kwa biashara zaid,lkn pia nyumba ipo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau wenye mzigo kiasi chochote tunanunua. Tuko nyerere road lete sample kabla haujaleta mzigo ili kuondoa usumbufu. 0716300776
0 Reactions
5 Replies
1K Views
About Big one enterprises Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wanajamvi, Kwa wale wanahitaji kiwanja Arusha ukubwa wake ni 26 kwa 22 hakina mgogoro wowote nahitaji pesa tu. Huduma kama maji, umeme na barabara vyote zinapatikana, Mandhari murua unapata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ukubwa: square meter 602 kilipo: Mbweni JKT karibu na Baharini Bei: maelewano mawasiliano: 0754570615 au 0715570615
0 Reactions
5 Replies
1K Views
About Big one enterprises Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Shirika la ndege la Etihad leo limefungua rasmi jumba jipya la kifahari kwa ajili ya kupumzikia abiria wake katika uwanja wa ndege wa Melbourne, Australia. Jumba hilo ni mahususi kwa kuwapatia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Andika text whatsapp yenye jina la software unayohitaji, mahali ulipo na idadi. Tutakupigia kukupa bei.... Kwa wateja wa Software zaidi ya tano unapata moja for pc bure. Piga 0718653453 COFOSS...
1 Reactions
0 Replies
672 Views
Line tajwa hapo juu znahtajika kama unazo tafadhar ntafte 0758323543, 0674743890
0 Reactions
2 Replies
853 Views
Hop
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Wadau hata ikiwa kwa laki mbili siyo mbaya muhimu isiwe vidala dala viwili kwenda vingunguti secondary school
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nauza kuku wa kisasa(broilers) kwa elfu nane.Ni wakubwa sana wanapatikana kwa dar es salaam na jirani na dar usafiri juu yangu.Kama upo interested nicheki 0715867505
0 Reactions
1 Replies
759 Views
Wasiliana: 0752953860 Aina: Dell Optiplex 170L Hard Disk: 80Gb Ram: 1.5Gb Processor: 3Ghz Monitor: Dell inch 14'
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu Nina uhitaji wa kuku wa kienyeji wa kufuga / vifaranga wenye umri WA mwezi mmoja na zaidi Kwa sehemu Za Morogoro. Kama kuna mtu anaweza kuwa nao Naomba tuwasiliane. Wanahitajika Kwa wingi.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Shamba lipo sehem moja inaitwa mtamba kwa mzungu mkoa wa pwan lina documents tambulish,gari linafika had Shamba Contact 0656 698232
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom