kwa wale wapenzi wa movies, ninacollection za movies zaidi ya mia moja (ila sio bongo movies) kwa anahehitaji tuwasiliane bei ni nafuu tu, kuna series ya game of throne kuanzia season 1, narcos...
Nyumba ina vyumba vnne vya kulala (1master&3single),sitting room, public toilet, nyumba ndn ina marekebsho kdgo kama tiles,umeme ushalipiwa BT bado haujawaka so document zote za tanesco kuhusu...
Nyumba ina vyumba vtatu(1master&2single),sitting room ,public toilet, kisima cha maj na kinatoa maj, umeme unawaka, ipo barabara ya mtaa so unaeza weka frem kwa biashara zaid,lkn pia nyumba ipo...
About Big one enterprises
Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri
wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
Wanajamvi,
Kwa wale wanahitaji kiwanja Arusha
ukubwa wake ni 26 kwa 22
hakina mgogoro wowote nahitaji pesa tu.
Huduma kama maji, umeme na barabara vyote zinapatikana,
Mandhari murua unapata...
About Big one enterprises
Bigone logistic inakupa suluhisho la kupaua kuanzia ushauri
wa kukupigia hesabu mabati mangapi yanahitajika katika nyumba yako kwa njia ya ramani au kufika site kwako...
Shirika la ndege la Etihad leo limefungua rasmi jumba jipya la kifahari kwa ajili ya kupumzikia abiria wake katika uwanja wa ndege wa Melbourne, Australia. Jumba hilo ni mahususi kwa kuwapatia...
Andika text whatsapp yenye jina la software unayohitaji, mahali ulipo na idadi. Tutakupigia kukupa bei.... Kwa wateja wa Software zaidi ya tano unapata moja for pc bure. Piga 0718653453
COFOSS...
Wakuu nauza kuku wa kisasa(broilers) kwa elfu nane.Ni wakubwa sana wanapatikana kwa dar es salaam na jirani na dar usafiri juu yangu.Kama upo interested nicheki 0715867505
Wakuu
Nina uhitaji wa kuku wa kienyeji wa kufuga / vifaranga wenye umri WA mwezi mmoja na zaidi Kwa sehemu Za Morogoro. Kama kuna mtu anaweza kuwa nao Naomba tuwasiliane. Wanahitajika Kwa wingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.