Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

AL MADINA COMPUTERS LTD Tunafanya huduma ya kutengeneza magari ya aina mbalimbali (Diagnosis) kwa kutumia Komputer kutoka (America,Asia,Europe na China) na heavy equipment kama Cat...
0 Reactions
5 Replies
839 Views
Yeyote anae uza plot katika maeneovya g/mboto,bagamoyo au bunju ani PM
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kipo Kikuyu Dodoma, umbali wa mita 30 toka lango kuu la kutokea la St. John’s University Size yake ni 29ft x 51ft. Kina Lease ya miaka 33. Kizuri Kwa Kujenga hostel. Bei ni maelewano...
0 Reactions
0 Replies
809 Views
Specifications: 10400 mAh Brand name : MI Used : One week Status : In good condition. Price : 80,000/- net! No discount. Check me PM if interested.
0 Reactions
3 Replies
948 Views
Habari wanajamvi Nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu wapi naweza kupata rennet kwaajili ya matumizi ya kutengenezea cheese (specifically aina ya mozzarella).. Katika pita pita zangu naona nyingi...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Kiwanja kinauzwa, kipo Igoma - Mwanza city, (Mbugani) nyuma ya St. Mary's school. Kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane kwa simu namba 0754-533543. Wote mnakaribishwa,
0 Reactions
2 Replies
701 Views
Nahitaji bajaj mpya wapi zilipo show room zao mbeya.
0 Reactions
1 Replies
957 Views
TANGAZO. GEO PLAN DESIGN and LAND CONSULTANCY Kampuni ya mipango miji inakutangazia viwanja vilivyopimwa kwa mujibu wa sheria za mipango miji wizara ya ardhi. Viwanja viko kigamboni mbele ya...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Kuna viwanja vifuatavyo; a) Mbande Chamazi Mbagala - DSM 40ft X 50ft = 6,000,000/= b) Mbondole Ilala - DSM 40ft X 50ft = 3,000,000/= c) Tambani Mkuranga 50ft x 50 ft - Pwani = 3,000,000/= d)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Japo hili si jukwaa la matangazo ila kwa kuwa wapenda mitindo wengi wapo humu naomba kuwapa ofa hii... Gauni size ni medium material ya kuvutika hata kibonge kias anavaa, nauza 35000 nakutumia...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nauza samsung galaxy s4 mpya bei 300000 mpya kabisa napatikana dar. Ram 2gb Storage 16gb Camera 13mp Network 2G 3G 4G lite Android verson lolpop Ina support hml(hml to hdmi)
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Nahitaji ofisi ya kupanga ya bei nafuu/ bei ya chini iliyopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi, kuanzia maeneo ya Morocco hadi mjini.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu humu? Kwa wenye biashara ambazo hazifanyi vizuri kama walivotegemea au kwa wale wanaotaraji kuanzisha biashara au wale wenye mitaji na hawajui wafanye biashara gani kulingana na...
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Ndugu wajasiriamali, habari zenu? Nakuja mbele yenu leo kutangaza offer maalum kwa wajasiriamali mmoja mmoja. Mimi ni Graphic Designer ambaye nina uzoefu wa kutosha kwa kazi za designing katika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nnasaply kuku Daressalam Bei jogoo Tsh 15000 mtetea 12000 ,iila kwa Anaehitaji kuku wengi kwa kila wiki or siku kaza bei ya jumla Tsh 13000 mchanganyiko yaan matetea na majogoo Karibun no...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hekar mbil zipo chanika mvut zinagusa barabara ya lami zinafaa kwa matumiz makubwa kama ya kufungua yard, sheli n.k..zina hatimilik Contact; 0656 698232
0 Reactions
3 Replies
970 Views
Wakuu kuna kiwanja kinauzwa hapo block 41 karibia na biafra. Nimetumiwa msg nami naiscreenshot hapa ili nisijeonekana dalali, Kwa wanaotumia simu najua picha haitafunguka, details ni kuwa Eneo...
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Bajaji mpya inauzwa.bado mpya na makaratasi yake.imetembea umbali wa go down hadi makazi yangu tu.In road licence na plate number.haina insurance. Kwa kifupi ni mpya kama inavyokuwa imetoka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu nimeamua Kujikita katika Kutengeneza Hosted Account za Adsense Sasa ninazo kama 20 hivi na zote zipo Kibiashara zaidi (Nauza) Kama Una Blog au Website Na hauna Adsense au Unahitaji...
0 Reactions
0 Replies
564 Views
Bado haijaisha nyumba ni kubwa ya vyumba vitatu,jiko,choo na eneo kubwa linabaki. Nyumba ina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa,na ofa Bei Ni tsh 15 milioni maongezi yapo. Kwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom