Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu nina hosted accounts nyingi sana naziuza kwa elfu kumi tu kwa kila accounts. Pia natoa ushauri na mbinu mbali mbali za kufanya upate dollari za kutosha nicheki 0765321403 au 0675968762 for...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Giving out 5pcs only. Watu wa5 wa kwanza kutuma PM Watajipatia 1TB External HDD kwa Bei ya Happy wkend Na hutoweza kuipata sehem yoyote ile kwa hiyo bei. Changamkia. Sio ya Kukosa. Bei...
0 Reactions
0 Replies
550 Views
Natafuta mfugaji wa kuku anayeuza mayai ya kisasa kuanzia treyi 10, bei shillingi 6,000 kwa treyi. Muuzaji awe dodoma, kama unayo nicheki 0714112838. Thanks in advance
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu? Ninahitaji kukodi vitanda vya kulalia (godoro,mito,mashuka na mablanketi yake) ukubwa ni kuanzia futi 3X6,4X6,5X6 na 6X6. Pia hata kama una double deck unaweza kunijuza,vitanda...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Hop
0 Reactions
0 Replies
532 Views
Nipo mwanza,nahitaji charger ya Samsung galaxy gear kwa bei yoyote
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Zuwena ( sio jina lake halisi ), ni mwanamke wa kitanzania mwenye umri wa miaka 43. Kwa sasa mwanadada huyu anaishi na virusi vya ukimwi. Mwanadada huyu anabainisha namna, alivyo pata maambukizi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habarini nahitaji kiti tajwa hapo juu wenye maduka ya fanirture stores tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Kwa dalali yeyote ambae anaweza kunitafutia frem kubwa maeneo ya mwenge au mwananyamala hata sinza karibu na barabara ya lami. karibu inbox tupeane taarifa
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za jioni wandugu, Nina shida ya kununua mashine inayoweza kuprint id card zile ngumu za plastic kama ATM card, wapi naweza kupata na kwa bei gani? Na ningependa kupata kubwa inayoweza...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Salaam wadau Natafuta mtu anauza na kufunga vertical blinds hapa Dar.Kama humu yupo tuwasiliane namba 0689900000
0 Reactions
2 Replies
471 Views
Nyumba imejengwa kisasa ina vyumba vtatu vya kulala (1master&2single) sitting room,dinning, Jiko,public toilet, ina uwanja mkubwa 20/25m,umeme unawaka ipo barabara ya mtaa Contact; 0656 698232
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iphone 6 inauzwa Colour: Gold Storage: 64gb Accesories: charger n 1year warrant Used two weeks no scratches (kama mpya). Price. 1mil Location: dar es salaam, temeke, uhasibu. Contact: 0766976110
0 Reactions
2 Replies
956 Views
Budget yangu ni 1Milioni. Kiwanja kiwe na ukubwa wa Angalau sqm800 au zaidi. Maeneo yanayohitajika: Chanika, kerege au Zinga bagamoyo.
1 Reactions
2 Replies
817 Views
Wakuu Nyumba inapangishwa ipo maeneo ya Temeke kwa anayehitaji piga 0778242424
0 Reactions
2 Replies
923 Views
Shamba liwe na ukubwa wa angalau wa nusu heka au zaidi.
0 Reactions
1 Replies
948 Views
Nissan wingroad year 2002. Cc 1760. Good condition vibali vyote vimelipiwa. B registered 4.8 m
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiwanja maeneo ya mjini Bagamoyo kinatafutwa. Ukubwa kwenye 1000 sqm Na kundelea. Nitashukuru kupokea various options zilizopo. Ahsante.
0 Reactions
1 Replies
807 Views
Kwa kipindi kirefu sasa ndoa na Mahusiano yamekua yakiingia kwenye migogoro na hata kuvunjika kabisa katika kuliona hilo tatizo sugu linaloendelea sasa katika jamii yetu ndugu Iman matabula...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba ina vyumba vitatu vya kulala pamoja na master bedroom, sitting room,public toilet, kisima cha maji kipo, umeme unawaka. Ipo chanika, km 1 kutoka stendi ya daladala. Contact; 0656 698232
0 Reactions
4 Replies
716 Views
Back
Top Bottom